Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Dls 20 Og la plastoreKwa hiyo unatumia lipi kwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dls 20 Og la plastoreKwa hiyo unatumia lipi kwa sasa?
Kabisa kaka heri 2020 lina changamotoHilo la 19 halina changamoto kabisa niliunda kikosi balaa nikanunua kina Cr7, Messi, Hazard nakadhalika kisha nikaenda na mfumo wa 4-3-3 nilikuwa nazipiga Arsenal na Man U goli 20 kila mmoja. Nimelifuta juzi kati tu
Sio lazima ucheze data zikiwa on mkuuMkuu Wang Shu hilo game nimelipakua na nimejaribu kulicheza naona hakuna tofauti yoyote na lile la 2019. Maana project ni zile zile utaanzia Academy Division mpaka Division one kisha utaendelea ucheze na mabara hivyo mpaka hatua ya mwisho.
Ila nilicho gundua kwenye hili game ni watu tu wameli hack na kuweka fake graphics lionekane ni la 2020 kumbe ni 2019. Katika option walizo hack ni kama HD view, Both player 204cm, all player unlocked, all player VIP, all player both footed na unlimited coin. Option hizo zilikuwa hazipo kwenye lile la kutengeneza 2019 kwahiyo naweza nikasema DLS la 2020 lililo sahihi ni lile linalopatikana playstore. Maana niliwahi kulipakua kule playstore kilicho ni shinda ni kucheza ukiwa online.
sawa alafu toa hiyo 3gp yani ibakie "profile.dat" na kitabadilika mwonekanoNisha ki rename, hiyo zarchiver msaada tafadhali View attachment 1502651
No match unacheza vizuri tu ikiisha ndo itataka uwashe data ikusanye taarifa ndio uendeelee,na hiyo ya kuzima data inasaidia hata ukiwa umefungwa match ikiisha unaiquitSasa ukizima kisha ukaanza kucheza si litaka yaani lishidwe kuendelea maana game linakutaka data ziwe on
ZArchiver ni application ya kufungulia file manager na kuwezesha kuhack unaeza kuipata playstore ni Mb 9 tu.Nisha ki rename, hiyo zarchiver msaada tafadhali View attachment 1502651
Hapana huu ni uongo mpaka basi duh kwenye dream league Soccer hicho kitu hakunaNo match unacheza vizuri tu ikiisha ndo itataka uwashe data ikusanye taarifa ndio uendeelee,na hiyo ya kuzima data inasaidia hata ukiwa umefungwa match ikiisha unaiquit
kwa kuwa utakua umezima data itagoma na kukutaka ucheze offline ko match itaanza upya mpaka pale utapoona matokeo yako sawa ndo unawasha data inayakusanya unaendelea
Labda game zile za online ndo data lazima ziwe on
Kichwa cha hii thread ni kupeana maujanjaHapana huu ni uongo mpaka basi duh kwenye dream league Soccer hicho kitu hakuna
Anaetaka profile dat atafute tu dls la 2019 original me ntampa file langu lina wachezaj wazuri sana nawa kipekee,wote wako 100Hakuna neno cutView attachment 1502667
Em ngoja nijalibu hii mbinu nitakupa mrejeshoKichwa cha hii thread ni kupeana maujanja
Sasa mimi nawapa maujanja ya dls 20 original mnajifanya nyie mnajua kila kitu
Mfano hii match hapo data nimezima na ntacheza itaisha ila ili matokeo yaingie kwenye system lazima niwashe data labda na kuangalia matangazo
Then nkitaka kucheza match inayofuata naweka data off,Hii mbinu ndo ilinifanya niendelee kucheza hili game hadi leo la sivyo nisingeweza kucheza data zikiwa on hadi haya mashindano ya kawaida
View attachment 1502663
Click kwa ku-hold unakandamizaHakuna neno cutView attachment 1502667
Hayo ndo maneno sio kujitia ubishi tu wa kizamaniEm ngoja nijalibu hii mbinu nitakupa mrejesho
Kuhack nini dls 2019 au?Hilo la 19 nimelicheza sana aisee. Vp hapo kwenye kuhack huna utaalamu?