TIP OF THE DAY :
Tumia Google Sheet Kwenye simu yako sio lazima. Uwe na Computer
Ingia play store andika Google Sheets halafu pakua..
Anza kufuatilia vitu vidogo vidogo wadau wanavyouliza hapa hata kama ukiwa safarini au kijiweni unapiga story..
Waswahili wanasema haba na haba hujaza kibaba...
Ukisha ipakue Kuna templates ambazo zimeshatengenezwa unaweza ukacheza nazo kupata maujuzi pia..
Kuna ya Calendar, Attendance Kwa walimu na hata Financial Statements Kwa wahasibu
Nitazielezea huko mbeleni
Enjoy!