Tupeane maujanja ya Excel

Yes ni kazi nzuri na hapo inaonesha umeielewa VLOOKUP kisawasawa!! Congrats!!

Ila changamoto ipo hapa.. Je kama mtu kupata D ni aliye na marks kuanzia 0-30 na wapo zaidi ya kumi Kwenye list?[/QUO
Wote watapata D mkuu subiri nikuoneshe mfano unakuaje
 
Mkuu kwa mara nyingine naomba mwongozo wa jinsi kurekebisha alama za watahiniwa katika somo la JIOGRAFIA I mean z-score kwa kutumia ms exel
 

Hakikisha umeandika formula pale ambapo Unataka Jumla itokee... Andika kama inavoonekana Kwenye picha halafu bonyeza enter..

Rudia mara mbili Tatu utazoea.. Usisahau kuingia Kwenye Telegram nitakuwa naweka video fupi ili ieleweke vizuri
Mkuu labda ungefafanua kuhusu hzo maana za A1 na nyinginezo ili zitupe mwangaza namna zinavyokuwa na kwa nn unazitumia

Maana kama sio kuhic kizunguzungu ni kijapanjapan

Natanguliza shukrani
 
Hebu nioneshe
Mkuu mi naomba msaada mmoja hivi. Je nifanye nini au nitumie formula gani kwenye jedwali la majumuisho?

Iko hivi:
Kwenye jedwali la matokeo,mfano mwanafunzi amekosewa marks badala ya 78 kumbe ana 88 kwahiyo ukimbadilishia,total yake itabadilika lakini nifanyaje ili apande automatically kwenye position?

Nadhani umenielewa mkuu
 
naomba kujua jinsi ya kusoti data kwenye column kwa kutumia position ya text ambayo inaelezea aina ya data
 
naomba kujua jinsi ya kusoti data kwenye column kwa kutumia position ya text ambayo inaelezea aina ya data
mkuu asante kwa swali lako ila naona kama sijakuelewa vizuri ...hebu elezea kwa kirefu kidogo
 
Mkuu labda ungefafanua kuhusu hzo maana za A1 na nyinginezo ili zitupe mwangaza namna zinavyokuwa na kwa nn unazitumia

Maana kama sio kuhic kizunguzungu ni kijapanjapan

Natanguliza shukrani
Poa mkuu... usikate tamaa.. Ushawahi kutumia Excel hata kidogo tu kwanza ili nijue nakuelekezaje ?
 
Ukitumia Function ya Rank ni lazima ukibadilisha na nafasi yake itabadilika... Ila hakikisha ile jumla umeipata kwa kutumia Function ya SUM na sio manually
 
Poa mkuu... usikate tamaa.. Ushawahi kutumia Excel hata kidogo tu kwanza ili nijue nakuelekezaje ?
Nina microsoft office nmeiweka kwenye pc yangu but excell cjui kabisa kutumia huwa naiona tu natumia word mara nying kuandaa data zangu nataka niwe mkali kwenye excell ndo maana nilipo ona huu uzi nimefurahi sana
 
Nina microsoft office nmeiweka kwenye pc yangu but excell cjui kabisa kutumia huwa naiona tu natumia word mara nying kuandaa data zangu nataka niwe mkali kwenye excell ndo maana nilipo ona huu uzi nimefurahi sana

karibu endelea kufuatilia na hakikisha upo kwenye group
 
Nimejiunga kwenye group la Telegram..ila naona kama halipo sawa maana nashindwa hata kuyoa comments..so na mimi nilikuwa naiona tu exell..ila kwa sasa nataka kujifunza sana toka mwanzo....nahis kama hatua za mwanzo zimenipita naomba msaada kiukwel
 
Nimejiunga kwenye group la Telegram..ila naona kama halipo sawa maana nashindwa hata kuyoa comments..so na mimi nilikuwa naiona tu exell..ila kwa sasa nataka kujifunza sana toka mwanzo....nahis kama hatua za mwanzo zimenipita naomba msaada kiukwel
Hakuna sehemu ya comments ili kuondoa usumbufu Kwa watu wengine... Kama unaswali weka hapa au ni PM
 
Mkuu ubarikiwe sana kwa hii elimu nimefanikiwa kwa urahisi sana niliwaza kutenganisha ingenichukua more than 2 weeks but nimeifanya kwa dk chache ila kuna suala kama zipo nying umedrag kama umeweka pale mwanzo uliweka 2 digit ikakutana na 3 digit utapata tofaut so inabidi urekebishe kwanza
 
mkuu asante kwa swali lako ila naona kama sijakuelewa vizuri ...hebu elezea kwa kirefu kidogo
namaanisha kwa mfano kwenye kila cell ndani ya column ina neno lenye herufi tano, kila herufi ya nne kwenye hilo neno ni S au H. Sasa nataka kusoti ambazo herufi yake ya nne ni S zikae pamoja na zile ambazo ni H zikae pamoja. Tunafanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…