Tupeane maujanja ya Excel

Nimeanza nayo kaka nilivyo press enter ndio ikaniletea hivyo angalia hata kwenye screenshot pale kwenye fx
OK.. Pole Kwa usumbufu ulioupata...
Ongeza column mbili pembeni ya hizo then mwanzo andika =VALUE( F2) then Drag itakuletea value hizo hizo alafu zitumie kutafuta Average... Fanya hivo hivo Kwa columns ingine alafu unipe feedback... Unapokosea ndio unazidi kujifunza
Nimeanza nayo kaka nilivyo press enter ndio ikaniletea hivyo angalia hata kwenye screenshot pale kwenye fx
 
Umetumia formula gani kutafuta Age ?
 
Naomba kuelekezwa mfano Nina data kwenye Colmn "B" na Zingine Colomn "D" sasa lengo nataka kuangalia zinazomatch kwa kutumia Excel nitatumia njia gani? Ahsante.
 
Mkuu ubarikiwe sana imekubali pia tunaomba usichoke kwa maswali yetu
 
Let say inaanzia hapo 662, nimechukua =C1-C662 ikanipa jibu, nikaendelea C1-C663 Ikanipa jibu ninapo hilight na kudrop down inanipa majibu ambayo siyo tena kuanzia 1k inakua na negative
 
Naomba kuelekezwa mfano Nina data kwenye Colmn "B" na Zingine Colomn "D" sasa lengo nataka kuangalia zinazomatch kwa kutumia Excel nitatumia njia gani? Ahsante.
Mkuu Asante Kwa Swali lako zuri

Tumia Function ya

=EXACT (A1, B1)

A1 na B1 ndio CELL za Column unazolinganisha then Drag down

Angalia video ipo Kwenye Group Letu pia
 
Let say inaanzia hapo 662, nimechukua =C1-C662 ikanipa jibu, nikaendelea C1-C663 Ikanipa jibu ninapo hilight na kudrop down inanipa majibu ambayo siyo tena kuanzia 1k inakua na negativeView attachment 440675
Weka Alama ya dola $ katika ya C1 yaani =C$1 alafu drag kama kawaida


Hapo tatizo ni kwamba unapo drag bila Alama ya dola hiyo C1 inabadilika inakuwa C2, C3 na kuendelea.. Ili kuweka iwe constant tumia $

Nipe feedback baada ya kufanya hivo
 
Nahitaji kujua kama nikiongeza data nyingine za bidhaa..je formula itakuwa ivo ivo hapo juu au formula inabadilika
 
Nahitaji kujua kama nikiongeza data nyingine za bidhaa..je formula itakuwa ivo ivo hapo juu au formula inabadilika
Itabadilika mkuu ila ni range tu kutokana na data zilizo ongezeka.. Kama ilikuwa C1 hadi C4 na data zikaongezeka hadi C10 hakikisha una edit Kwenye formula pia... au unaweza weka range kubwa ili hata ukiongeza data isikupe tabu
 
Weka Alama ya dola $ katika ya C1 yaani =C$1 alafu drag kama kawaida


Hapo tatizo ni kwamba unapo drag bila Alama ya dola hiyo C1 inabadilika inakuwa C2, C3 na kuendelea.. Ili kuweka iwe constant tumia $

Nipe feedback baada ya kufanya hivo
Ahsante sana nimefanikiwa mkuu
 
Itabadilika mkuu ila ni range tu kutokana na data zilizo ongezeka.. Kama ilikuwa C1 hadi C4 na data zikaongezeka hadi C10 hakikisha una edit Kwenye formula pia... au unaweza weka range kubwa ili hata ukiongeza data isikupe tabu
Mkuu nimefanikiwa..kwa tatizo la kwanza..
 
mkuu nahitaj kupanga matokea ya mtihan ambapo nimeshafanya total ila nataka mwanafunz mwenye maksi kubwa awe wakwanza kwenye page bila kuwapa namba 1,23... nitumie formula gan
 
Safi sana mkuu.... Hakuna kitu kigumu duniani... Tuweke juhudi tu na jifunze kitu kidogo kila siku... Niliwahi enda sehemu mzungu kashikilia nafasi kisa tu ni mtaalam wa haya madude iliniuma sana
Ni kwel kabisa i wish tutaelewa zaid na zaid..nimekuwa najifunza sana..nimependa sana VLOOKUP..hasa ktk biashara...
Nakumbuka kuna siku nilienda Duka flan la Jeshi Lugalo kununua Dawa..muuzaji Mjeda akawa anatumia hii..kunitajia bei za dawa...nilibaki nashangaa sana nimeduwaa....
Nikamwona mtaalamu sana...

Dah leo na mimi kupitia msaada wenu nimeielewa
 
Safi sana... VLOOKUP hata kama una bidhaa 1000 unaweza Jua bei ya kila kitu au information yeyote ndani ya dakika moja!
 
mkuu nahitaj kupanga matokea ya mtihan ambapo nimeshafanya total ila nataka mwanafunz mwenye maksi kubwa awe wakwanza kwenye page bila kuwapa namba 1,23... nitumie formula gan
Yaani awe wa kwanza Kwa jina.. Uweze kusoma wa kwanza hadi wa mwisho moja Kwa moja?
 
Yaani awe wa kwanza Kwa jina.. Uweze kusoma wa kwanza hadi wa mwisho moja Kwa moja?
ndio mkuu
mfano
john 70 70 60 80 =100
lucy 30 20 50 10 =200
60 50 59 78 =500
huyo mwenye namba kubwa apande juu mwenye ndogo ashuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…