Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa... Ni rahisi sana highlight data zako zote halafu nenda Kwenye DATA >>>> SORT itakuletea Diolog boxndio mkuu
mfano
john 70 70 60 80 =100
lucy 30 20 50 10 =200
60 50 59 78 =500
huyo mwenye namba kubwa apande juu mwenye ndogo ashuke
Alama ya dola inatumika ku hold cell isibadilike pale unapo drag downAlama ya dola kazi yake ni nini hasa? Na alama ! je?
Issue hapo ni namna ya kwenda kwenye opt ila ni very simpleHii Office unayotumia ya mwaka gani mkuu? mi imenipa shida kidogo kupata "custom" kwenye "number"
ndio mkuuUmefanikiwa?
Alama ya dola inatumika ku hold cell isibadilike pale unapo drag down
Alama ya ! Mara nyingi huonekana pale unapotaka data katika Sheet Moja ionekane Kwenye Sheet ingine
Mfano.. Kama A1=10 Kwenye sheet1 ukitaka ionekane katika sheet2 andika
=sheet1!A1
Mkuu nimejaribu inaniandika False basi. Yaani Hizi data siyo kwamba ziendana kwa Row, hapana zipo shagalabaghala. Unaweza kutu data iliyo kwenye Colomn A Rowa ya 3 ikafanana na iliyo kwenye Colomn B Row ya 1.Mkuu Asante Kwa Swali lako zuri
Tumia Function ya
=EXACT (A1, B1)
A1 na B1 ndio CELL za Column unazolinganisha then Drag down
Angalia video ipo Kwenye Group Letu pia
Naomba picha tafadhali nizioneMkuu nimejaribu inaniandika False basi. Yaani Hizi data siyo kwamba ziendana kwa Row, hapana zipo shagalabaghala. Unaweza kutu data iliyo kwenye Colomn A Rowa ya 3 ikafanana na iliyo kwenye Colomn B Row ya 1.
Ahsante.
ongeza column pembeni na kuandika mfano =B1+7 na B1 ndio marks za zamani then drag downMkuu habari! nimefatilia ile clip ya kirekebisha marks ila tatizo pale sjaelewa vizuri mfano;-
- Nachoomba kujua kama nikiwa nataka kuwaongezea wanafunzi marks 7 kila mwanafunzi kwenye somo la maths na wapo 65?
- Kingine pale napotaka kurekebisha marks za wanafunzi watano tu katika 65 ambao baada ya kusahihisha upya nimegundua nimewakosesha marks mmoja 18,14,19,5 na 23 respectivelly. Naomba msaada hapo mkuu wangu.ahsanteh.
Sasa hz formula utakalili au kuna namna ya kujua kuziandika?Kwenye Invoice au Risiti. Kama unataka idisplay tarehe na muda wa kuiandika, enter the following formula. =now() . Hapa kila kitu utachofanya itajiupdate muda automatically.
Asante Kwa Swali Lako Mkuu..
Nenda Kwenye Cell unayotaka iwe affected.. Right Click nenda hadi Kwenye FORMAT CELLS then click baada ya hapo zitatokea options nyingi chagua CUSTOM then upande wa kushoto inatokea options kibao ambazo zinaanza na ## futa weka 0 kulingana na idadi unayotaka then Drag..
Natumaini nimeweza kukujibu. Karibu Kwa Swali lingine...
![]()
Unaweza uka
ongeza column pembeni na kuandika mfano =B1+7 na B1 ndio marks za zamani then drag down
hao watano nadhani unatakiwa u edit tu..Kumbuka primary data inatakiwa iwe sahihi siku zote Excel inakusaidia tu kufanya uchambuzi na uchakataji
Ziko kwenye excel or wordNaomba kuuliza nataka niprint data zangu zipo nyingi sana ila nataka kichwa cha habari kitokee katika kila page nimefreeze panel but imegoma kutoa kichwa cha habar kwenye page zingine