Tupeane maujanja ya Excel

Tupeane maujanja ya Excel

Wakuu nina excel workbook ziko 168(Invoices), sasa kila workbook ina details zifuatazo

-Invoice date
-Purchases Order # (PO)
-Invoice #
-Description
-Amount (Exclusive)
-Vat
-Amount (Inclusive)

Nisaidieni kama Naweza zi-link au kuziweka kwenye template moja itakayokuwa na mtiririko wa hapo juu. Lengo la kufanya hivo ni kutaka kujua total value ya Invoices zote (168)

Naweza kulinki,au kukopy na kupaste data hizo lakini hilo zoezi linaweza chukua muda mrefu

cc😡 Njuka II ,Tutor B
 
Wakuu nina excel workbook ziko 168(Invoices), sasa kila workbook ina details zifuatazo

-Invoice date
-Purchases Order # (PO)
-Invoice #
-Description
-Amount (Exclusive)
-Vat
-Amount (Inclusive)

Nisaidieni kama Naweza zi-link au kuziweka kwenye tempalate moja itakayokuwa na mtiririko wa hapo juu. Lengo la kufanya hivo ni kutaka kujua total value ya Invoices zote (168)

Naweza kulinki,au kukopy na kupaste data hizo lakini hilo zoezi linaweza chukua muda mrefu

cc😡Njuka II ,Tutor B
@Njuka II
 
Nadhani ulikuwa unamaanisha workbook yenye worksheet 168
Nakumbuka nilishawahi kuelekeza jinsi ya kulink worksheets, soma comment no 618
Asante kwa maelezo mkuu, but hizi ni Invoices ambazo ziko kila moja na workbook yake, sio workbook moja yenye sheet 168
 
Asante kwa maelezo mkuu, but hizi ni Invoices ambazo ziko kila moja na workbook yake, sio workbook moja yenye sheet 168
Ok, ili kuunganisha workbook mbili tofauti inabidi workbook zote uwe umezifungua
Kama ndio upo kwenye workbook2, na unataka uilink na worbook1 unatype = then unaenda pale chini kwenye task bar, ukigusa icon ya Excel zitatokea screen za workbook zote mbili zikiwa na majina yake, so unaselect screen ya workbook 1 then unaselect cell (unaendelea na step zile zile za kutype formula)
Ukibadili data kwenye workbook 1, changes zinatokea na kwenye workbook 2
 
Wadau,

Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...

Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..

Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...

Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..

Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...

Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...

Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole

**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview

** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...

Please NOTE

** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia

PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!

Naomba kuwasilisha!

Ethos
Link nipe
 
Mtabe wa Excel, SPSS, STATA, nk Mwanza atoe Namba yake
 
Mkuu mimi nataka kutengeza page ya excel nitayoweka total number ya items... na kila nikitoa item moja mfano ziko jumla 20 basi nikitoa moja ibaki 19 automatically...nikitoa ingine zibaki 18 hivyo hivyo mpaka ziishe. Na zikiisha inipe alert kwamba zimeisha au zinakaribia kuisha!!! Nipe mwongozo hapo
Hiyo nyepesi sana ndugu
 
Nataka jinsi nitaandaa printed report automatically kwa excel,kusort kuweka madaraja na rank nafahamu ,average nk zote hizo nafahamu
 
Ok, ili kuunganisha workbook mbili tofauti inabidi workbook zote uwe umezifungua
Kama ndio upo kwenye workbook2, na unataka uilink na worbook1 unatype = then unaenda pale chini kwenye task bar, ukigusa icon ya Excel zitatokea screen za workbook zote mbili zikiwa na majina yake, so unaselect screen ya workbook 1 then unaselect cell (unaendelea na step zile zile za kutype formula)
Ukibadili data kwenye workbook 1, changes zinatokea na kwenye workbook 2
Thanks in advance, ngoja nijaribu mkuu, kwa case yangu nitatakiwa kuzifungua zote 168 alafu nifate hizo procedures, yaani niwe nafungua tano tano ili kurahisisha,au naweza kuwa na alternative ingine hapo??
 
Thanks in advance, ngoja nijaribu mkuu, kwa case yangu nitatakiwa kuzifungua zote 168 alafu nifate hizo procedures, yaani niwe nafungua tano tano ili kurahisisha,au naweza kuwa na alternative ingine hapo??
Kwanini usiwe na workbook moja yenye worksheet nyingi kuliko kuwa na workbook nyingi zenye worksheet moja moja? Workbook moja ina worksheet ngapi?
 
Kwanini usiwe na workbook moja yenye worksheet nyingi kuliko kuwa na workbook nyingi zenye worksheet moja moja? Workbook moja ina worksheet ngapi?
Haina shaka mkuu, but unakuta ni kazi umeletewa iko katika mfumo huo, workbook moja inaweza kuwa hata na worksheet 1000 au na zaidi kulingana na mahitaji yako
 
Kujua kama mwanafunzi amefanya mtihani au hajafanya, hapo inabidi uwe na kitu cha kutofautisha hizo case mbili. Mfano kwenye score kama patajazwa dash (- -) , kwenye output ionekane hajafanya na kama pataachwa blank, kwenye output ionekane hilo somo ni optional eg kwa mwanafunzi anayesoma Arts hatofanya physics na chemistry (kwenye remark itadisplay Optional) lakini masomo yote yanakuwepo au ukitaka yasiwepo kabisa, panga masomo yote ya lazima yaanze then ya optional yakae mwisho then utumie conditional formatting kwamba kama mwanafunzi atakuwa ni wa Arts basi masomo yaliyobaki ambayo hayamuhusu yasionekane (tumia font color na right,left, na bottom border : white). Hapa nazungumzia Individual student report

Kingine kwenye kucalculate division huwa yanachukuliwa masomo 7 tu ambayo mwanafunzi amefaulu zaidi so hata kama mwanafunzi atafanya masomo 12 still formula yako itapick hayo masomo 7 tu
MKUU Njuka II nashukuru Sana Kwa msaada wako. Nimetumia ushauri na maelekezo Yako vizuri Sana na nimepata nilichokuwa nakitaka.
Kuna project nilikuwa naifanya ya shule flani hivi na Sasa imefanikiwa kwa asilimia 99. Zimebaki finishing ndogo ndogo TU.
Ubarikiwe.
 
MKUU Njuka II nashukuru Sana Kwa msaada wako. Nimetumia ushauri na maelekezo Yako vizuri Sana na nimepata nilichokuwa nakitaka.
Kuna project nilikuwa naifanya ya shule flani hivi na Sasa imefanikiwa kwa asilimia 99. Zimebaki finishing ndogo ndogo TU.
Ubarikiwe.
Amin
Asante kwa kushukuru ndg, we are together

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Wakuu,Naomba kusaidia ku find total in horizontal,,Nikisha ingiza formular kwenye cell ya kwanza npata jibu sasa kila niki drag down ili nipate majibu kwenye cell nyingine Haileti,,,

Natumia simu,Mfano wa hizo ni alama za wanafunzi,Nikitafuta total in horizontal kushindwa Msaada wakuu

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Tumia fill
 
Back
Top Bottom