Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted Bruh!! Nshaishusha HapaYes Mkuu SladeW. Kwa watu wanaotumia Chromebooks au MacBook wanatumia Google Sheet ni sawa na Excel. Zote tunaziweka kwenye kundi moja la SpreadSheets
Tuko pamoja ..Karibu kwa Maswali popote utakaposhindwa
ShukraniKaribu tena Mkuu..
Hapo utakuwa umepanga majina kufuata alphabetZiweke alama column ya kwanza kwa majina yote, highlight majina yote na marks zake, light click then select Sort A-Z, ngoma itakupangia flesh
Hapo utakuwa umepanga majina kufuata alphabetZiweke alama column ya kwanza kwa majina yote, highlight majina yote na marks zake, light click then select Sort A-Z, ngoma itakupangia flesh
Asante Kwa Swali Lako na samahani Kwa kuchelewa kukujibu..Naomba kujulishwa jinsi ya kuandaa matokeo ya mtihani, jinsi ya kuwapanga wa mwanzo hadi mwisho kwa kuzingatia column ya JUMLA bila kuathiri mpangilio wa alama za masomo kwa kila somo.
Naomba kujulishwa jinsi ya kuandaa matokeo ya mtihani, jinsi ya kuwapanga wa mwanzo hadi mwisho kwa kuzingatia column ya JUMLA bila kuathiri mpangilio wa alama za masomo kwa kila somo.
Hapana mkuu.. hapo atakuwa amevuruga mpangilio... Anachotaka ni kumpanga mwanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho .. hapo anatakiwa atumie RANK function kama nilivyoeleza hapo juu..Highlight column husika, then nenda kwenye data sort chagua Z to A
Asante Kwa Swali Lako na samahani Kwa kuchelewa kukujibu..
Hapo tutatumia function ya RANK na Sio SORTING kama mdau mmoja alivoelekeza..
Unaandika =RANK(C3,C3:C12,1)
Mkuu hii ni more advanced kwa beginners. Ndio maana nikampa ile ya sorting.
Hapana mkuu.. hapo atakuwa amevuruga mpangilio... Anachotaka ni kumpanga mwanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho .. hapo anatakiwa atumie RANK function kama nilivo eleza hapo juu..
Asante kwa upendo wako na kujaribu kutoa mawazo
Asante kwa Swali lako zuri..Nawezaje kuandika namba kwenye column moja zijiadd automatically. Mimi kuna mahesabu ya pesa nafanya huku nahitaji msaada wenu.
Ziweke alama column ya kwanza kwa majina yote, highlight majina yote na marks zake, light click then select Sort A-Z, ngoma itakupangia flesh
okee sikujuaSort hutumika kupanga namba.. mfano 12 34 14 zipangwe kuwa 12, 14, 34 but RANK Inakuambia 12 ni ya ngapi kwenye huo mpangalio nakadhalika