Tupeane maujanja ya Excel

Tupeane maujanja ya Excel

Je wajua kuwa ukitumia Google SpreadSheet unaweza share na watu zaidi ya mmoja na mkafanya kazi moja hapo hapo hata kama mpo sehemu tofauti?
 
Darsa Zuri, Shukran. Kuna hii kitu ktk Telegram channel


Excel/SpreadsheetsTZ:
VoteBot:
Unaonaje hii program?

Nzuri sana
[emoji831]️ 0%

Nzuri kiasi
[emoji831]️ 0%

Sielewi vizuri
[emoji831]️ 0%

[emoji186] Nobody voted so far.

How do i vote ?
 
Darsa Zuri, Shukran. Kuna hii kitu ktk Telegram channel


Excel/SpreadsheetsTZ:
VoteBot:
Unaonaje hii program?

Nzuri sana
[emoji831]️ 0%

Nzuri kiasi
[emoji831]️ 0%

Sielewi vizuri
[emoji831]️ 0%

[emoji186] Nobody voted so far.

How do i vote ?
Angalia tena nimerekebisha mkuu.. Kulikuwa na tatizo la kiufundi
 
Thanks kwa darasa...endelea kutupa ujuzi
Asante.. ningependa maswali kutoka kwako pale unapokwama ili ni fundishe vitu ambavyo ni useful katika mazingira yako
 
Njoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
Nitawatafuta, nina shida ya kujifunza mambo machache yayohusiana na hiyo kitu.
 
TIP OF THE DAY :

Tumia Google Sheet Kwenye simu yako sio lazima. Uwe na Computer

Ingia play store andika Google Sheets halafu pakua..

Anza kufuatilia vitu vidogo vidogo wadau wanavyouliza hapa hata kama ukiwa safarini au kijiweni unapiga story..

Waswahili wanasema haba na haba hujaza kibaba...

Ukisha ipakue Kuna templates ambazo zimeshatengenezwa unaweza ukacheza nazo kupata maujuzi pia..

Kuna ya Calendar, Attendance Kwa walimu na hata Financial Statements Kwa wahasibu

Nitazielezea huko mbeleni

Enjoy!
Very solid advice! You definitely know what you are doing.
 
Hii document ni Calender iliyotengenezwa kwa Excel.. Ni ya mwaka 2016.. Unaweza ukaipakuwa kwa matumizi yako ya ofisini na pia kupangilia ratiba zako

Unaweza ukajiuliza kwanini Calender katika Excel ? Kama upo smart na mipango na mambo yako na unapenda taarifa sahihi kila wakati tutakuwa pamoja... hapo kwenye calender pembeni unaweza weka formula mbali mbali na ukapata idadi ya siku ambazo umefanya kitu fulani hata kwa mwaka mzima

link hii hapa

Kwa waliopo kwenye Chanel kule mtaipata ambayo ni downloadable
 
Leo tuiangalie Kwa Ufupi kabisa hii function ya COUNTIF. Hii hukuwezesha kuhesabu namba, au vitu vilivyopo katika ROW au COLUMN jinsi unavyotaka.. Kwa mfano kama Kwenye Column Kuna mchanganyiko wa Maembe na Mapera na Unataka kujua idadi ya Mapera Peke yake..

=COUNTIF(range, criterion) hapo lazima uanze na Alama ya sawasawa kama kawaida Kwenye formula za Excel halafu Kwenye Range unaandika Cell ya kwanza katika data zako unaweka : halafu unaandika Ile ya mwisho.. Kwenye Criteria ndio pa kuandika Ile Condition unayoitaka..

=COUNTIF(A1:A12,"Mapera") itakuletea idadi ya Mapera

Angalia mfano hapo chini ambao nimefanya ili kutafuta idadi ya Savings
11378079aaae314bfe66326e1689e871.jpg
 
SUNDAY TEASER:

Unajua nini kuhusu PIVOT TABLE katika Spreadsheets ???
 
Asante Kwa Swali Lako Mkuu..

Nenda Kwenye Cell unayotaka iwe affected.. Right Click nenda hadi Kwenye FORMAT CELLS then click baada ya hapo zitatokea options nyingi chagua CUSTOM then upande wa kushoto inatokea options kibao ambazo zinaanza na ## futa weka 0 kulingana na idadi unayotaka then Drag..


Natumaini nimeweza kukujibu. Karibu Kwa Swali lingine...
eeb636925330c0bc626d85e01dd54f9c.jpg
Kudos brother
 
I am Humbled !

I came to work on spreadsheets by chance when we were doing a google related project at work and had to report in spreadsheets at all times, I have never looked back since. Bado haina uwezo wa excel (inachukua muda kuformat ukiwa na data nyingi, formula's nyingi haziingiani na excel e.t.c) lakini it will be the spreadsheet of the future no doubt.
Kwa sasa napenda jinsi;
1. The whole team all over the world can work on one spreadsheet and I can track all the changes everyone makes without sending a million emails back and forth.
2. Naweza kufanya mambo yangu kwenye spreadsheet kisha nikai-download kama excel na nikaendelea nayo kama kawa and vice-versa.
 
I came to work on spreadsheets by chance when we were doing a google related project at work and had to report in spreadsheets at all times, I have never looked back since. Bado haina uwezo wa excel (inachukua muda kuformat ukiwa na data nyingi, formula's nyingi haziingiani na excel e.t.c) lakini it will be the spreadsheet of the future no doubt.
Kwa sasa napenda jinsi;
1. The whole team all over the world can work on one spreadsheet and I can track all the changes everyone makes without sending a million emails back and forth.
2. Naweza kufanya mambo yangu kwenye spreadsheet kisha nikai-download kama excel na nikaendelea nayo kama kawa and vice-versa.
This is indeed a powerful comment so far! Thank you for your technical contribution..

Ni Kweli kabisa set backs ulizozitaja zipo wakati mtu anatumia Google Spreadsheets

Kingine ni Network kama ipo slow na team ni kubwa inaweza ikasumbua sana...
 
Asante Kwa Swali Lako na samahani Kwa kuchelewa kukujibu..

Hapo tutatumia function ya RANK na Sio SORTING kama mdau mmoja alivoelekeza..

Unaandika =RANK(C3,C3:C12,1)

Formula hiyo iweke Kwenye Column mwanzo ili uweze ku Drag mpaka mwisho...

Lakini kumbuka C3 ni namba unayotaka ipewe nafasi yake

C3:C12 ndio range ambao Unataka itumike na hiyo moja ya mwisho ni kwamba ianze kuhesabu namba kuanzia 1 na Sio 0,1,2....

Pia hakikisha una ongezea Alama ya $ Kwenye kila herufi ya range yako ili unapodrag isibadilishe maana..

Kwahiyo itakuwa =RANK(C4,$C$3:$C$12,1)
6624a57f67624937780f2000b43dc54f.jpg

Mkuu Ethos hapa sijakuelewa
 
Back
Top Bottom