Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Yeyote yule aliyeoa au olewa ambaye panapotokea tafrani, suluhu yake ni kuachana, basi fahamu fika ni Malaya na Muhuni!
Yeyote yule aliyeoa au olewa ambaye panapotokea tafrani, suluhu yake ni kuachana, basi fahamu fika ni Malaya na Muhuni!
Ooh! Yes KabisaKama yanazungumzika ndugu yangu......kuna mengine ni irepearable mydia
unajua DA kuna mambo mawili kwenye mahusiano tunayamiss timing halaf yanatucost, la kwanza hili "uvumilivu" na la pili ile tunaita "kumuamini mwenza", hauwezi kujiita ni mvumilivu kama kosa lenyewe ni la kukuharibia profile yako, jina lako sahihi litakuwa ni b w e g e, na pia hauwezi kusema unamuamini mwenza wako kiasi kwamba anarudi usiku wa manane wewe unasema simuulizi kitu kwasababu namuamini. khaaaaa! haya mapointi ninayomwaga leo naomba mnipigie debe nipewe umod.Kumbe bado mapointi yanashuka??? Hongera...................
mie naamini kumbadili m2 mzima ni ngumu sana, huwa nawapa pole sana wale wanaoingia kwenye game kwa imani kwamba Asprin ni mlevi/mhuni wa kutupwa lakini mbeleni nitambadilisha, nabakiaga nashangaa, ni bora uingie ukikubaliana na alivyo huku ukiendelea kumbadili ukifanikiwa sawa, ikila kwako ujue uliamua mwenyewe tokea mwanzo...kumbadili kiumbe ni kitu kigumu sana.
Yeyote yule aliyeoa au olewa ambaye panapotokea tafrani, suluhu yake ni kuachana, basi fahamu fika ni Malaya na Muhuni!
Fidel yule binti wa TIP TOP usimuache bana.Alafu mnalazimisha tukaachane kijijini kwa lipi?
Tunaachana kimjini mjini.
Ndoa nyingi za wasomi ndio huwa zina matatizo. Na matatizo mengi kwa kiasi kikubwa huwa yanasababishwa na akina mama, tena kama mama ana elimu kubwa au ana uwezo mkubwa wa kipesa kuliko baba hapo tena ndo balaa. Ule ubaba unakuwa hauna maana kabisa. Mama ndo atataka kutawala nyumba, ukisema hiki jibu lake usinibabaishe na visa kedekede. Jaribu kufanya kautafiti kadogo tu, hata viongozi na wasomi wengi wanawake aidha huwa hawana waume au ndoa zao huwa zina migogoro mikubwa sana.
Ninayo mifano mingi sana ambayo nimeishuhudia mimi mwenyewe ya wanandoa ambao mama aidha ana uwezo na elimu kubwa kuliko baba au wako sawa. Wengine huwa wanafikia hata hatua ya kulala vitanda tofauti, asubuhi kila mtu anaondoka na gari yake japo wanafanya kazi ofisi moja. Basi ilimradi vurumai.
Akina mama/dada jirekebisheni (siwatuhumu). Fedha na elimu haviwezi kununua mapenzi.
unajua DA kuna mambo mawili kwenye mahusiano tunayamiss timing halaf yanatucost, la kwanza hili "uvumilivu" na la pili ile tunaita "kumuamini mwenza", hauwezi kujiita ni mvumilivu kama kosa lenyewe ni la kukuharibia profile yako, jina lako sahihi litakuwa ni b w e g e, na pia hauwezi kusema unamuamini mwenza wako kiasi kwamba anarudi usiku wa manane wewe unasema simuulizi kitu kwasababu namuamini. khaaaaa! haya mapointi ninayomwaga leo naomba mnipigie debe nipewe umod.
Haiwezekani hata siku moja labda kwa uwezo wa roho mtakatifu peke yake......................
mie naamini kumbadili m2 mzima ni ngumu sana, huwa nawapa pole sana wale wanaoingia kwenye game kwa imani kwamba Asprin ni mlevi/mhuni wa kutupwa lakini mbeleni nitambadilisha, nabakiaga nashangaa, ni bora uingie ukikubaliana na alivyo huku ukiendelea kumbadili ukifanikiwa sawa, ikila kwako ujue uliamua mwenyewe tokea mwanzo...kumbadili kiumbe ni kitu kigumu sana.
heheeh sweetheart, hayo mavituko yanatokea kabisa kwenye talaka za siku hizi, kuna njemba ilimwacha mke wake eti hajui kutumia remote ya plasma TV anamwaibisha kwa mafriend wake. msibishe! imetokea nyumba ya kumi tu kutoka hapa ninapoishiyaani jamani v2ko vyako mie vinaniacha hoi,hahaha nimecheka kwa nguvu zote sio mzima kabisa wewe haki ya nani vile.
Fidel wale wa Club Continental issue mazee wale makaa ya motoMwanamke akimwacha mwanaume basi mwanamke huyo ni mhuni ilitakiwa avumilie
Fidel yule binti wa TIP TOP usimuache bana.
Kipo mbona kitufe mbadala Samora Macheli
Vp mwanamke akikuzingua unamfanyaje?
Unamdunda mangumi au unamrushia vilago?
Fidel wale wa Club Continental issue mazee wale makaa ya moto
Hahaha umeona eh hommie!Alafu mnalazimisha tukaachane kijijini kwa lipi?
Tunaachana kimjini mjini.
Si kweli.
Wanaoendekeza kuachana bila sababu za muhimu ni self-centred individuals ambao hawajui maana ya kusamehe wala hawataki kucompromise.
heheeh sweetheart, hayo mavituko yanatokea kabisa kwenye talaka za siku hizi, kuna njemba ilimwacha mke wake eti hajui kutumia remote ya plasma TV anamwaibisha kwa mafriend wake. msibishe! imetokea nyumba ya kumi tu kutoka hapa ninapoishi
nakuja, acha nikaazime raba la mng'aro. wenye wivu wajibebe tu.Wewe umenisemea kabisa hebu nitafute jioni......................