Tupeane mawazo wapendwa

Tupeane mawazo wapendwa

na wasiwasi na uliyoandika umeoa au??????????????...............:sleepy:


Yeyote yule aliyeoa au olewa ambaye panapotokea tafrani, suluhu yake ni kuachana, basi fahamu fika ni Malaya na Muhuni!
 
Kumbe bado mapointi yanashuka??? Hongera...................
unajua DA kuna mambo mawili kwenye mahusiano tunayamiss timing halaf yanatucost, la kwanza hili "uvumilivu" na la pili ile tunaita "kumuamini mwenza", hauwezi kujiita ni mvumilivu kama kosa lenyewe ni la kukuharibia profile yako, jina lako sahihi litakuwa ni b w e g e, na pia hauwezi kusema unamuamini mwenza wako kiasi kwamba anarudi usiku wa manane wewe unasema simuulizi kitu kwasababu namuamini. khaaaaa! haya mapointi ninayomwaga leo naomba mnipigie debe nipewe umod.
 
mie naamini kumbadili m2 mzima ni ngumu sana, huwa nawapa pole sana wale wanaoingia kwenye game kwa imani kwamba Asprin ni mlevi/mhuni wa kutupwa lakini mbeleni nitambadilisha, nabakiaga nashangaa, ni bora uingie ukikubaliana na alivyo huku ukiendelea kumbadili ukifanikiwa sawa, ikila kwako ujue uliamua mwenyewe tokea mwanzo...kumbadili kiumbe ni kitu kigumu sana.

Haiwezekani hata siku moja labda kwa uwezo wa roho mtakatifu peke yake......................
 
Yeyote yule aliyeoa au olewa ambaye panapotokea tafrani, suluhu yake ni kuachana, basi fahamu fika ni Malaya na Muhuni!

Mwanamke akimwacha mwanaume basi mwanamke huyo ni mhuni ilitakiwa avumilie
 
Ndoa nyingi za wasomi ndio huwa zina matatizo. Na matatizo mengi kwa kiasi kikubwa huwa yanasababishwa na akina mama, tena kama mama ana elimu kubwa au ana uwezo mkubwa wa kipesa kuliko baba hapo tena ndo balaa. Ule ubaba unakuwa hauna maana kabisa. Mama ndo atataka kutawala nyumba, ukisema hiki jibu lake usinibabaishe na visa kedekede. Jaribu kufanya kautafiti kadogo tu, hata viongozi na wasomi wengi wanawake aidha huwa hawana waume au ndoa zao huwa zina migogoro mikubwa sana.

Ninayo mifano mingi sana ambayo nimeishuhudia mimi mwenyewe ya wanandoa ambao mama aidha ana uwezo na elimu kubwa kuliko baba au wako sawa. Wengine huwa wanafikia hata hatua ya kulala vitanda tofauti, asubuhi kila mtu anaondoka na gari yake japo wanafanya kazi ofisi moja. Basi ilimradi vurumai.
Akina mama/dada jirekebisheni (siwatuhumu). Fedha na elimu haviwezi kununua mapenzi.

Mkeshaji usisahau pia kuwa hata kwenye ndoa ambazo wababa ndo mhimili wa famili, wamama wanavumilia mengi sana ambayo mwanamke mwenye elimu au kipato chake asingeweza kuvumilia......

Unanikumbusha aliyokuwa anasema that Nigerian Writer Chimamanda Ngozi Adichie on The Danger of a Single Story...........
Chimamanda Adichie: The danger of a single story | Video on TED.com
 
unajua DA kuna mambo mawili kwenye mahusiano tunayamiss timing halaf yanatucost, la kwanza hili "uvumilivu" na la pili ile tunaita "kumuamini mwenza", hauwezi kujiita ni mvumilivu kama kosa lenyewe ni la kukuharibia profile yako, jina lako sahihi litakuwa ni b w e g e, na pia hauwezi kusema unamuamini mwenza wako kiasi kwamba anarudi usiku wa manane wewe unasema simuulizi kitu kwasababu namuamini. khaaaaa! haya mapointi ninayomwaga leo naomba mnipigie debe nipewe umod.


Wewe umenisemea kabisa hebu nitafute jioni......................
 
ni kweli huwezi badili tabia za mtu lakini ndoa na familia yoyote ili ifanikiwe kuna mambo ambayo lazima mkubaliane na kuweka mapungufu yenu pembeni sasa inapotokea mmoja anasema tu mwingine hasemi na hafanyi matatizo huanzia hapo.


mie naamini kumbadili m2 mzima ni ngumu sana, huwa nawapa pole sana wale wanaoingia kwenye game kwa imani kwamba Asprin ni mlevi/mhuni wa kutupwa lakini mbeleni nitambadilisha, nabakiaga nashangaa, ni bora uingie ukikubaliana na alivyo huku ukiendelea kumbadili ukifanikiwa sawa, ikila kwako ujue uliamua mwenyewe tokea mwanzo...kumbadili kiumbe ni kitu kigumu sana.
 
yaani jamani v2ko vyako mie vinaniacha hoi,hahaha nimecheka kwa nguvu zote sio mzima kabisa wewe haki ya nani vile.
heheeh sweetheart, hayo mavituko yanatokea kabisa kwenye talaka za siku hizi, kuna njemba ilimwacha mke wake eti hajui kutumia remote ya plasma TV anamwaibisha kwa mafriend wake. msibishe! imetokea nyumba ya kumi tu kutoka hapa ninapoishi
 
Kipo mbona kitufe mbadala Samora Macheli

Vp mwanamke akikuzingua unamfanyaje?

Unamdunda mangumi au unamrushia vilago?

ha ha ha ha inategemea mkuu hawa viumbe mi sijawahi kuwaelewa hata siku moja..

kuna maudhi ya kusamehe na kuvumiliana ila kuna mengine kila mtu ashike zake tu, watoto watakuja kuelewa wakiwa wakubwa
 
Fidel wale wa Club Continental issue mazee wale makaa ya moto

Ni dhambi kubwa sana mwanamke kumwacha mwanaume.

Mwanamke anaachwa kama anavyo fuatwa kipindi cha kutongozana.

Mwanamke hapaswi kumwacha mwanaume kamwe bali anaachwa.
 
Si kweli.

Wanaoendekeza kuachana bila sababu za muhimu ni self-centred individuals ambao hawajui maana ya kusamehe wala hawataki kucompromise.

self-centredness - ... caring for yourself and your own needs

Umalaya - Promiscuity ...having many sexual partners in the absence of any commitment

Muhuni - Hooligan - ...malicious destruction of the property of others
 
heheeh sweetheart, hayo mavituko yanatokea kabisa kwenye talaka za siku hizi, kuna njemba ilimwacha mke wake eti hajui kutumia remote ya plasma TV anamwaibisha kwa mafriend wake. msibishe! imetokea nyumba ya kumi tu kutoka hapa ninapoishi

Kha dunia ina mambo hii jama!
 
Back
Top Bottom