Tupeane mawazo wapendwa

Tupeane mawazo wapendwa

Ukifikiria mara mbili mbili naona kama ni bora kubaki single hivi, nimenufaishwa na mawazo yenu wote, naona bora nibaki single tu

Ukitangaza kuwa uko "Moja" zitaanza kumiminika jumbe za faragha hadi ushindwe kujibu...lol.
 
mmh!!?????????????????????????????????????????????

majibu ya FIDEL180 na
Baba _Enock yanazidi kuniongezea siku za kuishi....lol

Inabidi umvumilie mzee mpaka yeye aamue kukuacha
 
ndio kusema? nimekwambia wametengana.

Wametengana kwa mda tu hao watarudiana tu ndo maana nakwambia sema wapo half time.

Wangekuwa wameachana hapo kurudiana ni ngumu maana kidume kinakuwa kimemwacha mwanamke na hakimtaki tena.
 
Yeyote atakayemwona NYUMBA KUBWA amwambie nina RB yake haraka sana naomba achangie hii thread....lol, pia nataka anipe ufafanuzi wa ile comment ya FIDEL aliyosema ,
eti nyumba kubwa inarekebishwa na nyumba ndogo,
hata sijui atasemaje katika hili.....lol.

Kama unajua sheria za infii utakuwa aidha umesahau kifungo kidogo.

Nitamwambia Teamo akukumbushe tu angalau kidogo. Nyumba ndogo zinahusika sana kuimalisha nyumba kubwa.

Tatizo la nyumba kubwa ni kujisahau...hii inatokana na wakati unavyo kwenda unakuta nyumba kubwa inajisahau.

Nyumba kubwa inajisahau kujituma katika majambozi Mr. akitaka kumgeuza hataki mara ooh leo mvua imenyesha siwezi kugeuka nimechoka sana kupiga deki nyumba. Basi jamaa anaamua ajipendelee kifo cha mende kwa shingo upande. Kesho akiamuka anaenda kusuuza nyumba ndogo.
 
Kama unajua sheria za infii utakuwa aidha umesahau kifungo kidogo.

Nitamwambia Teamo akukumbushe tu angalau kidogo. Nyumba ndogo zinahusika sana kuimalisha nyumba kubwa.

Tatizo la nyumba kubwa ni kujisahau...hii inatokana na wakati unavyo kwenda unakuta nyumba kubwa inajisahau.

Nyumba kubwa inajisahau kujituma katika majambozi Mr. akitaka kumgeuza hataki mara ooh leo mvua imenyesha siwezi kugeuka nimechoka sana kupiga deki nyumba. Basi jamaa anaamua ajipendelee kifo cha mende kwa shingo upande. Kesho akiamuka anaenda kusuuza nyumba ndogo.


HA HA HA HA HA AAAAAA,
kweli FIDEL una mambo wewe, kwa hiyo mke hapaswi kudeka kwa mume??,
akilalamika kuwa kachoka sasa si ni wajibu wako kumwondolea huo uchovu??,
Kwenda nyumba ndogo huoni kama hauitendei haki NDOA yenu??,pia ni kujidhalilisha wewe mwenyewe.....
 
HA HA HA HA HA AAAAAA,
kweli FIDEL una mambo wewe, kwa hiyo mke hapaswi kudeka kwa mume??,
akilalamika kuwa kachoka sasa si ni wajibu wako kumwondolea huo uchovu??,
Kwenda nyumba ndogo huoni kama hauitendei haki NDOA yenu??,pia ni kujidhalilisha wewe mwenyewe.....

Lazima mtendeane Haki jamani mwenzio ana kiu wewe ndo kwanza unajifunika blanketi unataka hiyo kiu akaitoe wapi?

Sasa ndo hapa unaona umuhimu wa nyumba ndogo mzee anaamua kujitafutia kiform iii kiwe angalau kinampa massage.
 
Kama unajua sheria za infii utakuwa aidha umesahau kifungo kidogo.

Nitamwambia Teamo akukumbushe tu angalau kidogo. Nyumba ndogo zinahusika sana kuimalisha nyumba kubwa.

Tatizo la nyumba kubwa ni kujisahau...hii inatokana na wakati unavyo kwenda unakuta nyumba kubwa inajisahau.

Nyumba kubwa inajisahau kujituma katika majambozi Mr. akitaka kumgeuza hataki mara ooh leo mvua imenyesha siwezi kugeuka nimechoka sana kupiga deki nyumba. Basi jamaa anaamua ajipendelee kifo cha mende kwa shingo upande. Kesho akiamuka anaenda kusuuza nyumba ndogo.

KWA NINI USIMTAFUTIE MTU WA KUMSAIDIA KUPIGA DEKI?,
KWANINI USINUNUE VIFAA VINGINE VYA USAFI AMBAVYO VITAMFANYA ASIPINDE MGONGO WAKATI WA KUPIGA DEKI??,

KWANINI UNATAFUTA MAJIBU MAGUMU KATIKA MASWALI MEPESI???,
UAMUZI WA KWENDA NYUMBA NDOGO NI JIBU GUMU SANA HILO.....lol
 
nisome vizuri ndo maana nimemwambia kama anatekeleza aliyoandika...............!

\
Yawezekana she/he lucky,
lakin nijuavyo mimi ,
SIYO KILA MHUBIRI MZURI (na hasa wengi wa siku hizi) NDIYO MTENDA MEMA.
PIA SIYO KILA MWANASAIKOLOJIA MZURI SANA WA MAPENZI BASI NA YEYE ANA MAPENZI MAZURI KWA MPENZI WAKE.
 
Tatizo la nyumba kubwa ni kujisahau...hii inatokana na wakati unavyo kwenda unakuta nyumba kubwa inajisahau.

JE HUKO KUJISAHAU NI UPANDE WA MKE TU ???,
JE MUME HUWA AJISAHAU BAADA YA KUOA ??,
JE MUME ANAMFANYIA YALE YOTE ALIYOKUWA ANAMFANYIA MKE KABLA HAWAJAOANA??,
JE SIYO KWAMBA MABADILIKO YA HUYO MKE YAMECHANGIWA NA KUJISAHAU KWA MUME??.

FIDEL ,USIKIMBIE JIBU HAYO, tafadhali.
 
nisome vizuri ndo maana nimemwambia kama anatekeleza aliyoandika...............!

\

Nilikuelewa vizuri chauro pia nakubaliana na maoni yako,
ila hapo nilikuwa nakazia tu juu ya kile ulichosema wewe...

Usishangae neno nakazia ndiyo maneno yetu siye tuishiyo karibu na bahari..lol
 
Maty NDOA kama NDOA sio ngumu ila sisi binadamu ndio tunaifanya ionekane ngumu, NDOA ni jambo takatifu lililobarikiwa na Mwenyezi Mungu kuachana sio solution tatizo tumekosa uvumilivu mama anajifanya mjuaji baba naye anajifanya mjuaji kila mtu ndani ya nyumba anajifanya ana kibesi kuliko mwenzake,wengine walioana ili mradi tu kwa vile fulani kaoa, nakumbuka siku moja padri kanisani aliuliza "Ambaye hajawahi kutoka nje ya ndoa yake anyooshe mkono juu" nakumbuka kati ya watu wote waliokuwa kanisani walionyoosha mikono juu walikuwa watano tu.

mkuu kuna wakati mmoja anajishusha mpaka unakuwa kama sisimizii lakin kama mwingine hayupo tayari kuiokoa hiyo ndoa haisaidii
 
KWA NINI USIMTAFUTIE MTU WA KUMSAIDIA KUPIGA DEKI?,
KWANINI USINUNUE VIFAA VINGINE VYA USAFI AMBAVYO VITAMFANYA ASIPINDE MGONGO WAKATI WA KUPIGA DEKI??,

KWANINI UNATAFUTA MAJIBU MAGUMU KATIKA MASWALI MEPESI???,
UAMUZI WA KWENDA NYUMBA NDOGO NI JIBU GUMU SANA HILO.....lol

Sasa mke nitakuwa nimemuoa kwa kazi ipi? Kama kumega ndo hivyo mvivu au ujiko na mm nimeoa?

Nakwambia usithubutu kumwachia kazi muhimu za nyumbani house girl akipika msosi mzuri mzee akimsifia tayari kosa.

Kama unamwachia house girl afue mpaka boxer za mzee basi huna budi kushare nae kwenye ulingo wa 6 kwa 6 si anakusaidia majukumu.
 
Mwisho wa yote ni nini? Mi naona muhimu ni kusameheana na kuanza upya. Mkiachana ndio mwanzo wa kuingia kwenye kutenda chamber.
 
Tatizo la nyumba kubwa ni kujisahau...hii inatokana na wakati unavyo kwenda unakuta nyumba kubwa inajisahau.

JE HUKO KUJISAHAU NI UPANDE WA MKE TU ???,
JE MUME HUWA AJISAHAU BAADA YA KUOA ??,
JE MUME ANAMFANYIA YALE YOTE ALIYOKUWA ANAMFANYIA MKE KABLA HAWAJAOANA??,
JE SIYO KWAMBA MABADILIKO YA HUYO MKE YAMECHANGIWA NA KUJISAHAU KWA MUME??.

FIDEL ,USIKIMBIE JIBU HAYO, tafadhali.

Yeah mwanamke akisha olewa najisahau sana wkt wa kuchimbiana mlikuwa mnabinuka mpaka sarakasi akitua ndani anaacha.

Mme anajua majukumu yake haswa ndani ya ndoa kuliko mwanamke.

Yeah mara nyingi mme anamfanyia mwanamke yale ya zamani huwa anasema kukumbushia.

Mara nyingi mwanamke huwa anaota sana kuolewa ili atimize wajibu kuwa nae kaolewa. Akisha olewa anajisahau.
 
nazani hii ndio pointi anayoimiss mpendwa, haiwezekani mimi huku home navumilia kunyimwa unyumba halaf mama chanja yeye anaonekana billicanus anaomba vocha kwa DJ. Huu ni u b w e g e sasa si uvumilivu.

True that!Mmoja anaweza kuweka juhudi kwenye kujenga mwingine kubomoa!Hapo hamtafika popote zaidi ya kuishia kuishi maisha ya kukomoana!
 
Yeah mwanamke akisha olewa najisahau sana wkt wa kuchimbiana mlikuwa mnabinuka mpaka sarakasi akitua ndani anaacha.

Mme anajua majukumu yake haswa ndani ya ndoa kuliko mwanamke.

Yeah mara nyingi mme anamfanyia mwanamke yale ya zamani huwa anasema kukumbushia.

Mara nyingi mwanamke huwa anaota sana kuolewa ili atimize wajibu kuwa nae kaolewa. Akisha olewa anajisahau.

HAPO KWENYE RED NINA KIGUGUMIZI KIZITO KUKUBALIANA NA WEWE 100%.
ILA MIMI NAJUA KILA MABADILIKO YANA CHANZO CHAKE.....
NA KUJISAHAU KWA MWANAMKE KAMA UNAVYOSEMA WEWE KUNA CHANZO CHAKE KATIKA NDOA.......
 
True that!Mmoja anaweza kuweka juhudi kwenye kujenga mwingine kubomoa!Hapo hamtafika popote zaidi ya kuishia kuishi maisha ya kukomoana!

Na kawaida mwanamke mhuni ndie anae mkomoa mme wake take it from me.

Pasaka njema naenda Usalule kupiga Mdindifu
 
HAPO KWENYE RED NINA KIGUGUMIZI KIZITO KUKUBALIANA NA WEWE 100%.
ILA MIMI NAJUA KILA MABADILIKO YANA CHANZO CHAKE.....
NA KUJISAHAU KWA MWANAMKE KAMA UNAVYOSEMA WEWE KUNA CHANZO CHAKE KATIKA NDOA.......

Nani kichwa cha familia?

Mme anasugua kichwa mwanamke na watoto watapishana vp chooni?

Bila yeye watoto trip za chooni zinapungua kwa siku mara moja.
 
Unasema watu wanaoachana hua hawafikirii watoto?Kuna wavumiliaji ambao hua wanajifanya wanabaki kwaajili ya watoto ila watoto ndo wanaoishia kuteseka!Si kila mtu anafaa kua mzazi mpaka useme lazima wawepo wote ili mtoto afurahie..kuna wengine mmoja anaweza kuwapa hao watoto mapenzi zaidi ya wanayoweza kupewa na wazazi wawili.Kama hujui mara nyingi watu hua wanamalizia frastruatian zao kwa watoto!We unaposema unavumilia mwanaume anaona unamng'ang'ania!Kama hutakiwi ondoka..au kaa subiria Ukimwi!


Wewe umeona mvumilivu ni mwanamke tu.... ikiwa na maana matatizo yanaletwa na wanaume kwenye ndoa? Nadhani wote mme na mke wanawajibika katika kulinda na kuitunza ndoa yao. Yawezekana ni mwanaume au mwanamke anaweaz kuwa chanzo cha matatizo mpaka wakaamua kutengana.
 
Back
Top Bottom