Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

Wadau hali ya kiuchumi ya watanzania inajulikana , wengi wetu vipato vinasua sua sio kwa jobless ama employee iwe public ama private entity.

Wakuu nimekuja hapa tupeane updates ni mkoa gani ama wapi hapa nchini kwetu unaweza wekeza kwenye zao la kudumu likakupa pesa kwa kipindi kirefu.

N.B Mimi ni mtumishi wa halmashauri ya Buhigwe natafuta unafuu wa kiuchumi
Nauza miche ya matunda mbalimbali karibu mkuu..
 
Inapidi ufanye comparison as opposed to who ? Serikalini kuna Security mtu akiishi within his means na hata akizeeka atakuwa pensionable sasa linganisha na mbangaizaji machinga kitaa ambaye anaamka asubuhi hajui kama atapata pesa za kula jioni na siku nguvu zikikata hana hata pension ya kununua panadol....

In short hali sio shwari na it's gonna get worse.... Serikalini kukosekana ajira zenye ujira zimeondoa kabisa middle income (na hawa katika jamii yenye ustawi inabidi wawe wengi)
Kabisa kwa upande wa ajira pamekuwa pagumu sana pia biashara nazo azieleweki.
 
Lima kahawa Mbeya au Mbinga Songea. Kahawa ya kisasa miaka mitatu unaanza kuvuna.

Pia korosho ya mda mfupi nadhani miaka miwili au mitatu unaanza kuvuna.


Kahawa nifuate nikupe update zake me nimelima naanza kuvuna mwaka huu.
Kahawa hata huko huko Buhigwe alipo zinastawi vizuri sana na huenda ikamtoa kama atazingatia mbinu bora za kilimo.

Hana sababu ya kukimbilia Mbeya, Mbinga wala Songea kama ulivyomshauri.
 
Kama hali ya hewa inaruhusu. Lima zao la mchikichi. Uzalishe mafuta ya mawese na mafuta ya mise. Tafuta mbegu ya kisasa
 
Korosho kwa sasa ni pasua kichwa! sisi tuliopo kwenye korosho tumekimbilia kwenye ufuta! na wengine wamefyeka mikorosho yote wamepanda miembe.
Hapo ndipo tunapo feli wakulima,na ufuta ukidondoka bei na korosho bei ukawa nzuri utaanza tena kupanda mikorosho uliyoikata?ukiambiwa zao la kudumu ni uwekezaji,kabla ya kuanza inatakiwa ukae chini ufikiri kwa mapana yake,changamoto ambazo ikitokea ukakutana nazo utafanya Nini?kama hiyo ya kuporomoka kwa bei,pia lazima ujue Kila penye changamoto fursa ipo nyuma yake imejificha,Mimi pia imenigusa KWENYE korosho kwa mwaka huu,ila sijakata tamaa au kukata mikorosho au kukimbilia zao lingine, bali nimepata nguvu mpya ya kuwekeza zaidi KWENYE zao la korosho, sababu nimepata njia mbadala ya kuliendea zao Hilo kwa mwaka huu MWENYEEZI MUNGU akipenda

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Hapo ndipo tunapo feli wakulima,na ufuta ukidondoka bei na korosho bei ukawa nzuri utaanza tena kupanda mikorosho uliyoikata?ukiambiwa zao la kudumu ni uwekezaji,kabla ya kuanza inatakiwa ukae chini ufikiri kwa mapana yake,changamoto ambazo ikitokea ukakutana nazo utafanya Nini?kama hiyo ya kuporomoka kwa bei,pia lazima ujue Kila penye changamoto fursa ipo nyuma yake imejificha,Mimi pia imenigusa KWENYE korosho kwa mwaka huu,ila sijakata tamaa au kukata mikorosho au kukimbilia zao lingine, bali nimepata nguvu mpya ya kuwekeza zaidi KWENYE zao la korosho, sababu nimepata njia mbadala ya kuliendea zao Hilo kwa mwaka huu MWENYEEZI MUNGU akipenda

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
noted chief
 
Hapo ndipo tunapo feli wakulima,na ufuta ukidondoka bei na korosho bei ukawa nzuri utaanza tena kupanda mikorosho uliyoikata?ukiambiwa zao la kudumu ni uwekezaji,kabla ya kuanza inatakiwa ukae chini ufikiri kwa mapana yake,changamoto ambazo ikitokea ukakutana nazo utafanya Nini?kama hiyo ya kuporomoka kwa bei,pia lazima ujue Kila penye changamoto fursa ipo nyuma yake imejificha,Mimi pia imenigusa KWENYE korosho kwa mwaka huu,ila sijakata tamaa au kukata mikorosho au kukimbilia zao lingine, bali nimepata nguvu mpya ya kuwekeza zaidi KWENYE zao la korosho, sababu nimepata njia mbadala ya kuliendea zao Hilo kwa mwaka huu MWENYEEZI MUNGU akipenda

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app

Bless,sijawahi acha iamini korosho,plan ni kupanda shamba la minazi ukanda wa pwani ya mkoa wa lindi.
 
Bless,sijawahi acha iamini korosho,plan ni kupanda shamba la minazi ukanda wa pwani ya mkoa wa lindi.
Kiongozi shukran sana,kama umeingia kichwani kwangu, Nina heka zinakaribia 40 zimebaki ukitoa nilizopanda korosho nataka nianze mchakato wa kupanda minazi, unajua kiongozi uwekezaji ni vita,ufe au upone ila watu wengi wanachukulia simple sana, angalizo kama mtu una roho nyepesi ya kutaka matokeo mapema usijiingize kuwekeza kwenye mazao ya kudumu ya muda mrefu, ni Bora ukajihusisha na mazao ya muda mfupi,kama vile,nyanya,ufuta,mpunga,maharage,n,k

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi shukran sana,kama umeingia kichwani kwangu, Nina heka zinakaribia 40 zimebaki ukitoa nilizopanda korosho nataka nianze mchakato wa kupanda minazi, unajua kiongozi uwekezaji ni vita,ufe au upone ila watu wengi wanachukulia simple sana, angalizo kama mtu una roho nyepesi ya kutaka matokeo mapema usijiingize kuwekeza kwenye mazao ya kudumu ya muda mrefu, ni Bora ukajihusisha na mazao ya muda mfupi,kama vile,nyanya,ufuta,mpunga,maharage,n,k

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
noted chief
 
Kiongozi shukran sana,kama umeingia kichwani kwangu, Nina heka zinakaribia 40 zimebaki ukitoa nilizopanda korosho nataka nianze mchakato wa kupanda minazi, unajua kiongozi uwekezaji ni vita,ufe au upone ila watu wengi wanachukulia simple sana, angalizo kama mtu una roho nyepesi ya kutaka matokeo mapema usijiingize kuwekeza kwenye mazao ya kudumu ya muda mrefu, ni Bora ukajihusisha na mazao ya muda mfupi,kama vile,nyanya,ufuta,mpunga,maharage,n,k

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app

Ni kweli kabisa mazai ya muda mrefu yanahitaji uvumilivu sana ila yakianza kutoa ni faida.
 
Back
Top Bottom