Kwasababu ya dini ndo asitimuliwe!?au kumtafutia kimada mwingine?
waliogundua uvumilivu wangeweka na limit maana kuna mengine hayavumiliki
Isitoshe kama bado hajakuwa hakikua hataacha tena ni kama jobless yupo home full time? Kama ndio mtafutie kazi ya kufanya
ngumu kumtafutia mtu kazi ambaye hayuko tayari kutafuta kazi dunia ya leo, sawa na kumwombea mgonjwa asiye na imani.
Hahahahaaa mwanamke mkorofi ni bora kuliko yule muongeaji kama kijana sauti cha wauza sumu ya panya, utasikia dawa ya mende panya sisimizi kiroboto inajirudia kuanzia asubuhi hadi jioni. Hivo kwanza una heri kuwa mkeo si wale waongeaji tangu kuna kucha anaongea hadi mchana hadi saa ya kulala usiku yeye ni kuongea tuu. Ukisema utoke hadi unatoka getini yeye anaongea tena kwa nguvu na ukirudi hata saa 4 usiku utakuta anaendelea kuongea.
Dawa yao wote hawa ni kuwapa kichapo cha mbwa kuna ko 6*6. Hakikisha unamkoleza kisawasawa hata akuheshimu na kukupigia salute kila akikuona.
Sio umfanye kama unapekecha moto kwa kijiti na gogo lash.
Mlainishe mouse kila mahali hakikisha yuko hoi bin taaban hana hata nguvu ya kifurukuta kisha panda ufanye yako. Lazima heshima irudi ukiona umefanya yote hayo na bado yuko vilevile ujue amechoka na amezoea upole wako na unyenyekevu wako. Badili ka na uwe mkali na mbabe kwake ataiacha hayo.
Polee.
Dah huyo ni hafai
Kweli nimeamini, kila mtu anapewa kutokana na uwezo wake wa kustahamili mambo. Katika vitu vinanikera ni kuishi na mtu wa aina hiyo, utatamani kuhama nyumba coz hakuna amani. Yaani kuangalia tu TV iwe nongwa, au kulalama tu ovyo kwa kila utendalo..mmmh...
..I thank God for giving me such a humble woman...! Hanaga ujinga wa kitoto kitoto...