Kwa kawaida kombania Moja inaweza kua na kuruta kama wangapKiuhalisia Porini Ni Miezi 2 Kabla Ya Kumaliza Kozi Ambapo Mtaenda Kwa Awamu Za Kikombania....
Kila Askari Katika Kozi Lazima Apitie Porini Kwa Muda Wa Miezi 2 Au Labda Maelekezo Tofauti Toka Kwa Wakufunz...
Kuna Muda Porini Ni Mwezi Tu Wa Mchakamchaka Mnene Kisha Mnamaliza Pori...
Ukienda CCP Usiende Na U JKT Wako Maana Mnajikutaga Majeshi Sana Ndo Maana Wakufunzi Wanawadisi...Mbona hayo mambo kama jkt tuu aiseee nahisi kwa sisi wa jkt hapo kinachoongezeka ni masomo tuu
umekula na umesomeshwa na hela za rushwa mkuu, Tubu!
JESUS IS LORD&SAVIOR
Ni kweli kaka ata mm niliskia wakiwadisi waliopita jktUkienda CCP Usiende Na U JKT Wako Maana Mnajikutaga Majeshi Sana Ndo Maana Wakufunzi Wanawadisi...
POLISI NI NIDHAMU... Huko JKT Mlifundishwa Wepesi Ila Polisi Hayo Mambo Hamna Aisee..
NDO MAANA POLISI WALIONDOA KIGEZO CHA JKT MAANA HAWANA NIDHAMU NA WANAJIKUTA MAJESHI SANA...
Itoshe Kusema Kwamba Wale Wasio na kuelewa wa JKT na wametoka tu kitaa huwa na NIDHAMU sana Wakifika Mafunzoni...
CCP Kwa Kumbukumbu Ni Kombania 4 Pekee...Kwa kawaida kombania Moja inaweza kua na kuruta kama wangap
Ukienda CCP Usiende Na U JKT Wako Maana Mnajikutaga Majeshi Sana Ndo Maana Wakufunzi Wanawadisi...
POLISI NI NIDHAMU... Huko JKT Mlifundishwa Wepesi Ila Polisi Hayo Mambo Hamna Aisee..
NDO MAANA POLISI WALIONDOA KIGEZO CHA JKT MAANA HAWANA NIDHAMU NA WANAJIKUTA MAJESHI SANA...
Itoshe Kusema Kwamba Wale Wasio na kuelewa wa JKT na wametoka tu kitaa huwa na NIDHAMU sana Wakifika Mafunzoni...
Rip Mzee Matangaππ½Sina Cha kutubu alie nilea 100% alikuwa muadirifu sana hakuwa mla rushwa...kabisa
Ila Kuna God father mmoja mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi huyo mwamba alikuwa Hana shida ya pesa.
Ukitangaza tu Nia kuwa unapenda kujiunga na jeshi la POLISI lazima akupe nafasi huyo mwamba alikuwa na shida ya Nia Yako tu...sio pesa
Mzee MATANGA MBUSHI mwenyezi Mungu akulaze mahala pema peponi...!ππππππ Kila nikilizungumzia jeshi la POLISI Huwa jina la huyu mzalendo mwenye upendo na ukarimu Lina nijia...!
Ngorongoro na SerengetiCCP Kwa Kumbukumbu Ni Kombania 4 Pekee...
Idadi Ya KURUTA Inategemea Na Idadi Ya Waliosailiwa Mfano Kama Jumla Ya KURUTA Ni 3000 Kila Kombania Itapata Kuruta 750 Au Kuzidiana Kidogo Sana Kwa Idadi Ya Boys Na Girls
Hiyo rocall Apo cvuti pichaCCP Kwa Kumbukumbu Ni Kombania 4 Pekee...
Idadi Ya KURUTA Inategemea Na Idadi Ya Waliosailiwa Mfano Kama Jumla Ya KURUTA Ni 3000 Kila Kombania Itapata Kuruta 750 Au Kuzidiana Kidogo Sana Kwa Idadi Ya Boys Na Girls
KweliiNa wengi wasicho kijua ni kuwa JKT ilizaliwa na jeshi la POLISI ilikuwa ni kikosi kidogo Cha uzalishaji ndani ya jeshi la POLISI...!
baadae ikatengwa Ikawa taasisi inayo jitegemea na wengi wanaifananisha jkt na JWTZ wasio lijua jeshi ila kiharisia uniform za askari wanaofanya kitengo Cha jkt ziko tofauti kabisa na JWTZ...!
Rip Mzee Matangaππ½
Rocall Ni Simple Sana Wakufunzi Wakiamua... Ila Zile Za Usiku Kuna Mwamba Kajificha Au Haonekani Ndo Uchawi AiseeHiyo rocall Apo cvuti picha
Dah kwa waliopitia Mikono Yake Haina Budi Kumlipa Fadhila Kupitia Watoto Wake Na Familia Kiujumla Kwa Wenye Uhitaji Kujiunga Na Jeshi La PolisiAcha kabisa ndugu yangu kama Kuna askari ambae hajapita kwenye mikono ya huyu mwamba haiwezi kuelewa 2014 kurudi nyuma...!
Hii njemba ilikuwa Nouma sana kwakweli siku ya msiba wake nililia sana...!
Njemba ilikuwa ikikupa ramani unachagua kitengo na mkoa unao uhitaji...!
Amesaidia wengi sana...! Idadi yake ni sawa na nusa ya askari wote wa POLISI Tanzania
Walio jongomea wanatafutwa ππππRocall Ni Simple Sana Wakufunzi Wakiamua... Ila Zile Za Usiku Kuna Mwamba Kajificha Au Haonekani Ndo Uchawi Aisee
Mtu Kawachelewesha Kulala Mnabaki Kupiga Kelele Na Kuropoka Tu Coz Hamuwezi Kumpigaπ
Dah kwa waliopitia Mikono Yake Haina Budi Kumlipa Fadhila Kupitia Watoto Wake Na Familia Kiujumla Kwa Wenye Uhitaji Kujiunga Na Jeshi La Polisi
Dah nzuri sana hii MUNGU ambariki sana MwambaWatoto wake awawezi kupata tabu enzi zake kipindi kama hichi nafasi zimetoka ujue kijijini kwao Kuna Kosta 3 zinakuja Moshi zikiwa na vijana ππππ wenye maelekezo maalumu
Na huyu mwamba alikuwa ahangalii pesa uwe nayo usiwe nayo jeshi utajiunga tu...uwe na elimu usiwe nayo jeshi utajiunga tu...! Kikubwa uweze kuandika na kusomaπππ
aisee wewe ni pongo, tena namba H.Sina Cha kutubu alie nilea 100% alikuwa muadirifu sana hakuwa mla rushwa...kabisa
Ila Kuna God father mmoja mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi huyo mwamba alikuwa Hana shida ya pesa.
Ukitangaza tu Nia kuwa unapenda kujiunga na jeshi la POLISI lazima akupe nafasi huyo mwamba alikuwa na shida ya Nia Yako tu...sio pesa
Mzee MATANGA MBUSHI mwenyezi Mungu akulaze mahala pema peponi...!ππππππ Kila nikilizungumzia jeshi la POLISI Huwa jina la huyu mzalendo mwenye upendo na ukarimu Lina nijia...!