Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Mkuu unavyosikia mavikos haya yanatoa lin majina?
 
Mmh mbona sijakusoma, hao madogo wa form6 kutoka mwez wa9 jkt wanahusiana vip na ajira za polisi mkuu??πŸ€”
Aaah hapo sijui nikufafanulie vipi..
Ila ndio hvo baada ya madogo kutoka kule mwezi wa tisa baada ya week 2 hvi ndio usaili utaanza
 
Aaah hapo sijui nikufafanulie vipi..
Ila ndio hvo baada ya madogo kutoka kule mwezi wa tisa baada ya week 2 hvi ndio usaili utaanza
Sasa mwezi wa9 mbona mbali sana, yani apo mpaka wakujitolea watakua washaripoti makambini….sasa si itakua mtu bora uingie zako jkt uko kuliko kusubiria polisi ambao hauna uhakika nao kama utapata au utakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…