Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mkuu nina stress hapa za kutosha. Kama ni mwez ujao tuambiane tu mana nishachoka kuunga ungainly mtaani. Naomba nipate accuracy tu kwamba ni lini hasa 💣💥Very soon
Nakazia siku20 tu😅Mkuu nina stress hapa za kutosha. Kama ni mwez ujao tuambiane tu mana nishachoka kuunga ungainly mtaani. Naomba nipate accuracy tu kwamba ni lini hasa 💣💥
Isije ikawa soon kwako mana kwangu mm geto lumebakia unga na dagaa wa kula siku 20 tu
Yani hapa mpaka mda huu nna kimeoNakazia siku20 tu😅
Una uzoefu wa kurusha kindege?Yani hapa mpaka mda huu nna kimeo
1. Pesa X cha buku 9
2. Kimeo twiga loan buku 4
3. Branch nina cha elf 10
4. Songesha ninacho cha elf 22
Nataka kurusha kindege kujaribu bahati mana hali mbaya. Wazee wa lonji sijui wawe na huruma hata kidogo 😆
Iyo ya kurusha kindege itakumaliza😂Yani hapa mpaka mda huu nna kimeo
1. Pesa X cha buku 9
2. Kimeo twiga loan buku 4
3. Branch nina cha elf 10
4. Songesha ninacho cha elf 22
Nataka kurusha kindege kujaribu bahati mana hali mbaya. Wazee wa lonji sijui wawe na huruma hata kidogo 😆
Una uzoefu wa kurusha kindege?
Nasikia kinapunguza unene na kukausha damu ndan ya masaa 42 tuIyo ya kurusha kindege itakumaliza😂
Nasikia kinapunguza unene na kukausha damu ndan ya masaa 42 tu
Watu naona washakata tamaa aiseeHumu ndani
Mimi sioni hata kuchelewa maana nauli ya kwenda Dodoma sina.. bora wajetume huru kwanza tupate nauli
Upande wa bachelor chaguzi ni mbili tu Dodoma na zanzibar hqSasa mkuu kwann ulichagua dodoma wakat ww unajua naul kipengele….je wakitangaza kua usail week ijayo utawalaumu?
Anhaa….ungetumia chet cha form6 sabab kwa tetes nilizoskia bachelor kupata ni ngumu maana nafas zinakuaga chache….naskia wanaohitajika ni 80 tu mkuuUpande wa bachelor chaguzi ni mbili tu Dodoma na zanzibar hq
UmriAnhaa….ungetumia chet cha form6 sabab kwa tetes nilizoskia bachelor kupata ni ngumu maana nafas zinakuaga chache….naskia wanaohitajika ni 80 tu mkuu
Tutapata tuu. kwa Mungu hakuna linaloshindikana kila mtu anakusudilake hapa duniani na ni lazima litimieIla sikukatishi tamaa tuzidishe dua mkuu, mungu ndo kila kitu
Pamoja ✊Tutapata tuu. kwa Mungu hakuna linaloshindikana kila mtu anakusudilake hapa duniani na ni lazima litimie