Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Very soon
Mkuu nina stress hapa za kutosha. Kama ni mwez ujao tuambiane tu mana nishachoka kuunga ungainly mtaani. Naomba nipate accuracy tu kwamba ni lini hasa 💣💥

Isije ikawa soon kwako mana kwangu mm geto lumebakia unga na dagaa wa kula siku 20 tu
 
Mkuu nina stress hapa za kutosha. Kama ni mwez ujao tuambiane tu mana nishachoka kuunga ungainly mtaani. Naomba nipate accuracy tu kwamba ni lini hasa 💣💥

Isije ikawa soon kwako mana kwangu mm geto lumebakia unga na dagaa wa kula siku 20 tu
Nakazia siku20 tu😅
 
Nimeenda kweny page ya polisi nimekumbushia kuhusu majina ya usahili lakin naona comment yangu ime be removed
 
Yani hapa mpaka mda huu nna kimeo
1. Pesa X cha buku 9
2. Kimeo twiga loan buku 4
3. Branch nina cha elf 10
4. Songesha ninacho cha elf 22

Nataka kurusha kindege kujaribu bahati mana hali mbaya. Wazee wa lonji sijui wawe na huruma hata kidogo 😆
Una uzoefu wa kurusha kindege?
 
Yani hapa mpaka mda huu nna kimeo
1. Pesa X cha buku 9
2. Kimeo twiga loan buku 4
3. Branch nina cha elf 10
4. Songesha ninacho cha elf 22

Nataka kurusha kindege kujaribu bahati mana hali mbaya. Wazee wa lonji sijui wawe na huruma hata kidogo 😆
Iyo ya kurusha kindege itakumaliza😂
 
Back
Top Bottom