Mkuu unaulizia muda wa kuripot kweny interview!!!Kwa anaejua watu waliopangiwa kufanya interview wilaya ya kinondoni wanafanya interview sehem gan? Na muda wa kuripo kwenye interview kuanzia saa ngap
Watu wengine bana 😂😂😂😂 790000 unaijuaPosho kwa mwez ndo laki4 ukijumlisha na mshahara take home 390000…..400000 + 390000=790000
Kwahyo kwa mwez utakua unapata 790000/=
Naijua mkuuWatu wengine bana 😂😂😂😂 790000 unaijua
Mshahara wa degree halmashauri kabisa unauletea mzaha hapaWatu wengine bana 😂😂😂😂 790000 unaijua
Sawa ndugu yanguNaijua mkuu
Haya tuambie ww bac polisi anae anza(PC) mwisho wa mwez anapata bei gan mshahara plus poshoMshahara wa degree halmashauri kabisa unauletea mzaha hapa
Niko hapa nasubili jibu lakeHaya tuambie ww bac polisi anae anza(PC) mwisho wa mwez anapata bei gan mshahara plus posho
Hivi ndugu nimeombea form Six lakini nina bachelor ya it chet cha bachelor nikitoe wakati wa mafunzo ,kupangiwa kituo au muda gani baada ya kupata?Imagine mwanamke unaenda kukutana nae una spend zaid ya elf50….sasa ukifanya ivo mara4 kwa mwez kwanini usilie kua mshahara hautoshi😂
Alafu apo bdo kuna posho nyingne sijaweka….kuna posho ya lindo bank elfu10 kwa siku kama utapangwa pia kuna posho zile za kusimamia mitihani endapo utapangiwa kusimamia….hii ni kwa askari wa elimu ya form4Watu wengine bana 😂😂😂😂 790000 unaijua
Nafahamu mkuu lakini ni confidential naomba nisaidie bas kunijibu lile swali mkuu niko njia Panda cjui niamue jeHaya tuambie ww bac polisi anae anza(PC) mwisho wa mwez anapata bei gan mshahara plus posho
Kifiche kwanza alafu jifanye mjinga…utakuja kunishukuru baadaeHivi ndugu nimeombea form Six lakini nina bachelor ya it chet cha bachelor nikitoe wakati wa mafunzo ,kupangiwa kituo au muda gani baada ya kupata?
Polisi mshahara plus posho haifiki laki saba MkuuAlafu apo bdo kuna posho nyingne sijaweka….kuna posho ya lindo bank elfu10 kwa siku kama utapangwa pia kuna posho zile za kusimamia mitihani endapo utapangiwa kusimamia….hii ni kwa askari wa elimu ya form4
Leta hesabu zako apa…na uniambie ni polisi wa elimu ganiPolisi mshahara plus posho haifiki laki saba Mkuu
Duh bas wako vizuri ndugu mimi nilitaka niingie na taaluma IT lakini mambo ni magumu cina anayenijua tofauti na mama Nazi😁😁😁
Kifiche ichochet mkuuDuh bas wako vizuri ndugu mimi nilitaka niingie na taaluma IT lakini mambo ni magumu cina anayenijua tofauti na mama Nazi😁😁😁