Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Kwa anaejua watu waliopangiwa kufanya interview wilaya ya kinondoni wanafanya interview sehem gan? Na muda wa kuripo kwenye interview kuanzia saa ngap
Mkuu unaulizia muda wa kuripot kweny interview!!!
 
Wakuu wakuu kunywa maji mengi moyo uelee litapigwa doso moja takatifuu ohooo usiseme hujaambiwa📢📢
 
Kuna mwanang kafika mbeya apo kaenda mpka kweny ofisi ya RPC kuchek mazingira ya atakapoenda j3 kupiga usail kwahyo kaambiwa ajiandae kwa dosoo….ohoo litapigwa doso hiloo lakufa mtuu😂😂
 
Imagine mwanamke unaenda kukutana nae una spend zaid ya elf50….sasa ukifanya ivo mara4 kwa mwez kwanini usilie kua mshahara hautoshi😂
Hivi ndugu nimeombea form Six lakini nina bachelor ya it chet cha bachelor nikitoe wakati wa mafunzo ,kupangiwa kituo au muda gani baada ya kupata?
 
Watu wengine bana 😂😂😂😂 790000 unaijua
Alafu apo bdo kuna posho nyingne sijaweka….kuna posho ya lindo bank elfu10 kwa siku kama utapangwa pia kuna posho zile za kusimamia mitihani endapo utapangiwa kusimamia….hii ni kwa askari wa elimu ya form4
 
Haya tuambie ww bac polisi anae anza(PC) mwisho wa mwez anapata bei gan mshahara plus posho
Nafahamu mkuu lakini ni confidential naomba nisaidie bas kunijibu lile swali mkuu niko njia Panda cjui niamue je
 
Ki
Hivi ndugu nimeombea form Six lakini nina bachelor ya it chet cha bachelor nikitoe wakati wa mafunzo ,kupangiwa kituo au muda gani baada ya kupata?
Kifiche kwanza alafu jifanye mjinga…utakuja kunishukuru baadae
 
Alafu apo bdo kuna posho nyingne sijaweka….kuna posho ya lindo bank elfu10 kwa siku kama utapangwa pia kuna posho zile za kusimamia mitihani endapo utapangiwa kusimamia….hii ni kwa askari wa elimu ya form4
Polisi mshahara plus posho haifiki laki saba Mkuu
 
Duh bas wako vizuri ndugu mimi nilitaka niingie na taaluma IT lakini mambo ni magumu cina anayenijua tofauti na mama Nazi😁😁😁
 
Duh bas wako vizuri ndugu mimi nilitaka niingie na taaluma IT lakini mambo ni magumu cina anayenijua tofauti na mama Nazi😁😁😁
Duh bas wako vizuri ndugu mimi nilitaka niingie na taaluma IT lakini mambo ni magumu cina anayenijua tofauti na mama Nazi😁😁😁
Kifiche ichochet mkuu
 
Back
Top Bottom