Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Wakuu PWANI usahili unafanyikia wapi KIBAHA au BAGAMOYO?
Umepishana na Gari la mshahara mzee, katika fani za dhahabu hapo Polisi basi ya kwanza ni Computer science na IT ukiwa na hizo fani wewe kikubwa upite kwenye Doso tu vumilia hapo tu basi, ukitoka hapo ni moja kwa moja coz ndio watu wanaohitajika saaaaaana kushinda hao form 4 na 6Hii ni ukweli kabisa ukitaka kupata kazi hii ya polisi ni vzr ukajifanya mjinga ila ukijifanya ww ni mjuaj sijui umesoma aloo kila siku utakua unapigwa chin
hizo unazoziita fani za dhahabu umefatilia ugumu wa kupata nafasi zake mkuu, usaili wa vyombo ni mgumu kwa wenye fani hujui tu huu ni usaili wangu wa nane kwenye hivi vyombo najua ugumu wake hizo shahada utakuja ushangae pdf zitabaki chini ya mia bara na visiwani jumla afu four na six kama elf 3Umepishana na Gari la mshahara mzee, katika fani za dhahabu hapo Polisi basi ya kwanza ni Computer science na IT ukiwa na hizo fani wewe kikubwa upite kwenye Doso tu vumilia hapo tu basi, ukitoka hapo ni moja kwa moja coz ndio watu wanaohitajika saaaaaana kushinda hao form 4 na 6
Sasa kama ulificha cheti chako ukitegemea utapenya kirahisi basi imekula kwako maana hata ukipenya, utakuwa mlinzi wa bank kigoma kwa miaka 3 ndo uruhusiwe kusoma ambapo ndo utatoa cheti chako ila kama Ulikitoa toka mwanzo tena IT 🫡🫡🫡 Moja kwa Moja Central kwenye kiyoyozi, sio kituoni kwenye vumbi!
Na sasa hv jeshi linatoka kwenye zama za analojia wanaenda kidigitali wanataka sana watu wa Technology sasa wewe umeficha cheti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sasa huko kwenye doso nafikaje kama sijapita usaili mimi nazungumzia kupita kwenye usaili kwa degree wewe unazungumzia maisha ya askari aliye ajiliwa unahisi unachukuliwa wa tu wenye IT watu elf arobaini wote tuliomba wanatupeleka kwenye kiyoyozi form four kweny benki iyo ya kigoma aucioUmepishana na Gari la mshahara mzee, katika fani za dhahabu hapo Polisi basi ya kwanza ni Computer science na IT ukiwa na hizo fani wewe kikubwa upite kwenye Doso tu vumilia hapo tu basi, ukitoka hapo ni moja kwa moja coz ndio watu wanaohitajika saaaaaana kushinda hao form 4 na 6
Sasa kama ulificha cheti chako ukitegemea utapenya kirahisi basi imekula kwako maana hata ukipenya, utakuwa mlinzi wa bank kigoma kwa miaka 3 ndo uruhusiwe kusoma ambapo ndo utatoa cheti chako ila kama Ulikitoa toka mwanzo tena IT 🫡🫡🫡 Moja kwa Moja Central kwenye kiyoyozi, sio kituoni kwenye vumbi!
Na sasa hv jeshi linatoka kwenye zama za analojia wanaenda kidigitali wanataka sana watu wa Technology sasa wewe umeficha cheti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
jifunze kusoma nchi yako inapoelekea usibaki na mawazo ya akina chimulenga warUmepishana na Gari la mshahara mzee, katika fani za dhahabu hapo Polisi basi ya kwanza ni Computer science na IT ukiwa na hizo fani wewe kikubwa upite kwenye Doso tu vumilia hapo tu basi, ukitoka hapo ni moja kwa moja coz ndio watu wanaohitajika saaaaaana kushinda hao form 4 na 6
Sasa kama ulificha cheti chako ukitegemea utapenya kirahisi basi imekula kwako maana hata ukipenya, utakuwa mlinzi wa bank kigoma kwa miaka 3 ndo uruhusiwe kusoma ambapo ndo utatoa cheti chako ila kama Ulikitoa toka mwanzo tena IT 🫡🫡🫡 Moja kwa Moja Central kwenye kiyoyozi, sio kituoni kwenye vumbi!
Na sasa hv jeshi linatoka kwenye zama za analojia wanaenda kidigitali wanataka sana watu wa Technology sasa wewe umeficha cheti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fact,! Tusimamie hapajifunze kusoma nchi yako inapoelekea usibaki na mawazo ya akina chimulenga war
Kuna mwanang kafika mbeya apo kaenda mpka kweny ofisi ya RPC kuchek mazingira ya atakapoenda j3 kupiga usail kwahyo kaambiwa ajiandae kwa dosoo….ohoo litapigwa doso hiloo lakufa mtuu[emoji23][emoji23]
nondo 💯jifunze kusoma nchi yako inapoelekea usibaki na mawazo ya akina chimulenga war
Mmh sjui kuhusu oral ila kama kutakuwa na written ni mtaulizwa maswali ya fani.. jichanganye[emoji23][emoji23][emoji23] nasikia maswali ni general wadau ko msijichoshe kusoma mambo ya fani zenu Kwa wale wa fani kurasini
Umepishana na Gari la mshahara mzee, katika fani za dhahabu hapo Polisi basi ya kwanza ni Computer science na IT ukiwa na hizo fani wewe kikubwa upite kwenye Doso tu vumilia hapo tu basi, ukitoka hapo ni moja kwa moja coz ndio watu wanaohitajika saaaaaana kushinda hao form 4 na 6
Sasa kama ulificha cheti chako ukitegemea utapenya kirahisi basi imekula kwako maana hata ukipenya, utakuwa mlinzi wa bank kigoma kwa miaka 3 ndo uruhusiwe kusoma ambapo ndo utatoa cheti chako ila kama Ulikitoa toka mwanzo tena IT 🫡🫡🫡 Moja kwa Moja Central kwenye kiyoyozi, sio kituoni kwenye vumbi!
Na sasa hv jeshi linatoka kwenye zama za analojia wanaenda kidigitali wanataka sana watu wa Technology sasa wewe umeficha cheti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umepishana na Gari la mshahara mzee, katika fani za dhahabu hapo Polisi basi ya kwanza ni Computer science na IT ukiwa na hizo fani wewe kikubwa upite kwenye Doso tu vumilia hapo tu basi, ukitoka hapo ni moja kwa moja coz ndio watu wanaohitajika saaaaaana kushinda hao form 4 na 6
Sasa kama ulificha cheti chako ukitegemea utapenya kirahisi basi imekula kwako maana hata ukipenya, utakuwa mlinzi wa bank kigoma kwa miaka 3 ndo uruhusiwe kusoma ambapo ndo utatoa cheti chako ila kama Ulikitoa toka mwanzo tena IT 🫡🫡🫡 Moja kwa Moja Central kwenye kiyoyozi, sio kituoni kwenye vumbi!
Na sasa hv jeshi linatoka kwenye zama za analojia wanaenda kidigitali wanataka sana watu wa Technology sasa wewe umeficha cheti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
uyo jamaa hajui kitu….nisaidie kumwambia mkuuwe
hizo unazoziita fani za dhahabu umefatilia ugumu wa kupata nafasi zake mkuu, usaili wa vyombo ni mgumu kwa wenye fani hujui tu huu ni usaili wangu wa nane kwenye hivi vyombo najua ugumu wake hizo shahada utakuja ushangae pdf zitabaki chini ya mia bara na visiwani jumla afu four na six kama elf 3
Anafikiri mambo ni marahisi tuu😂😂😂sasa huko kwenye doso nafikaje kama sijapita usaili mimi nazungumzia kupita kwenye usaili kwa degree wewe unazungumzia maisha ya askari aliye ajiliwa unahisi unachukuliwa wa tu wenye IT watu elf arobaini wote tuliomba wanatupeleka kwenye kiyoyozi form four kweny benki iyo ya kigoma aucio