Billionaire handsome
Member
- Jan 15, 2016
- 35
- 21
Beba academic vyote na chakuzaliwa usisahau kitambulisho cha NIDAVya academic sio??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]weka na jina halisi tukujueMimi sina Connection, Sina ndugu yoyote Polisi, GPA yangu ni 3.0, sijui watauliza maswali gani, sijui wana mazoezi gani, mtaani sijafanya na sifanyi mazoezi ya aina yoyote ile ila nakuhakikishia CCP naenda 100% Sitegemei bahati,sibahatishi, Sina hofu, Sina wasi wasi, sihangaiki na notes zozote, sisomi popote, Siulizi mtu wala mahali popote kuhusu usaili utakuwaje, Sitajichosha najiamini nitajibu ninachokijua tu ila mwisho wa siku tutakutana CCP! Piga screenshot hii message PDF ikitoka tuje hapa kuleta ushuhuda!
maana hawa watu wa namna hii hawakawii kuchange from Jeremiah to Fredrick[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]weka na jina halisi tukujue
Sema tu una mbanga mkuu unatupa CHAI isokuwa na sukariMimi sina Connection, Sina ndugu yoyote Polisi, GPA yangu ni 3.0, sijui watauliza maswali gani, sijui wana mazoezi gani, mtaani sijafanya na sifanyi mazoezi ya aina yoyote ile ila nakuhakikishia CCP naenda 100% Sitegemei bahati,sibahatishi, Sina hofu, Sina wasi wasi, sihangaiki na notes zozote, sisomi popote, Siulizi mtu wala mahali popote kuhusu usaili utakuwaje, Sitajichosha najiamini nitajibu ninachokijua tu ila mwisho wa siku tutakutana CCP! Piga screenshot hii message PDF ikitoka tuje hapa kuleta ushuhuda!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mana maneno makali anatumia ...ila kiuhalisia ana connection huyo anatuzugamaana hawa watu wa namna hii hawakawii kuchange from Jeremiah to Fredrick
[emoji23][emoji23][emoji23]
living certificate ni kwa ajili ya walio pata zero . hivyo huwa hawana cheti cha form four.. nayo hutolewa na mkuu wa shule hata kabla huja Fanya mtihani wa form four. haitambuliki popote..
hata mimi nilikua naongea kama wewe miaka kadhaa iliyopita na niliamini hivyohivyo ila kuna muda ulifika nikajua kuishi kwenye uhalisia na kuiacha habari ya miujiza yakujifaliji hebu twende na hesabu sikatai kwamba huyo mmoja atakua siyo wewe wala sio kwamba ciujui utofauti baada ya kuingia shida ni kua unaingiaje? chukua hesabu ndogo hapa "ufundi,certificate,diploma na degree zote zilizotajwa Tanzania bara na visiwani hazitazidi jumla ya watu 300 (nakwambia kitu ambacho nimeshuhudia mara nyingi) kama umri unaruhusu kwa Nini usijishushe uanzie kidogo chenye uhakika tena ukikaa miaka mitatu tu unarudi pale ulipostahili tena na ongezeko la daraja, nakuhakikushia endapo unarafiki Yako aliyejishusha kuombea elimu ya chini atamaliza miaka mitatu atabadirika tena kama ni mjanja ahamie dar asome masters kimya kimya open university kwa gharama zake hawatomtiria maanani sana kwa kua wanajua ni elimu ndogo hawezi furukuta akimaliza hiyo masters(mfano sis wa IT unaweza soma hata monotoring and evaluation masters ni mwaka mmoja na huku unasonga na kushika lindo usiku ukiongea vizuri na wakubwa unapangiwa usiku)ukimaliza unawapa masters yako chap unalamba tengo hata kwa kuchelewa muda huo wewe uliyekomaa na kuingilia degree Nafasi zikawa zimeuzwa na ukakaa home utakua na nini?,nakushauri kikubwa ni utimize vigezo hawakupangiii uingilie Nini Moto utauona mwenyewe utakapo kuta rafiki zako wa chuo wapo kweny mafunzo kwa form six utaniamini 😅😅😅Mimi nimeitwa na nilikuwa na mawazo kama yako ya kutumia cheti cha Form 4 ila nikapewa ushauri nikatumia cheti changu cha Degree nikaitwa! Suala la idadi hata huko 4 na 6 nafasi ni chache kulinganisha na idadi ya walioitwa kwahyo jambo la kutoboa usaili bado gumu ila ukishatoboa usaili nakuhakikishia utajuta kwanini hukuweka cheti cha Degree, Uoga wako ndio umasikini wako! Unaogopaje competition? Hata kama nafasi ingekuwa 1 kwa watu Milioni kumi kwaninj huyo mmoja asiwe wewe? Hujiamini yani unajiona hufai kupata nafasi utashindwa ndo maana unakimbilia kwenye wengi kutafuta huruma! Hiyo mindset ya kufeli achana nayo
mbanga ni rahisi kukuingiza jeshini kwa mtipidii ila polisi ni wagumu we acha😅😅😅😅😅weka na jina halisi tukujue
tulikua naowengi sana maeneo flani hivi wanaitwagwa baba kanituma utakuta uhakika mwiiiiiingi ngoja wanyiwe hawaonekanagimaana hawa watu wa namna hii hawakawii kuchange from Jeremiah to Fredrick
😂😂😂
Naijua hiyooo ili nikibuma mnicheke sio? 🤣🤣🤣🤣 hamnipati kindezi hivyo, subirini nitoboe mtasikia milio, mkiona kimya kimya mjiongeze mjue imeisha hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]weka na jina halisi tukujue
Haya wewe kakeshe unasoma ili utoboe 😃😃😃 wakati usaili unataka mbio, kama una mbio basi tukutane CCPtulikua naowengi sana maeneo flani hivi wanaitwagwa baba kanituma utakuta uhakika mwiiiiiingi ngoja wanyiwe hawaonekanagi
Tatizo lako ni hapo unapofikiri mtu akikosa kazi ya Upolisi basi atabaki nyumbani yani ndo maisha yake yataishia hapo 😀😀😀 kwani lazima upolisi? Sijui ndo wewe ulisema umeapply mara 8 ukakosa?kama ni wewe na Kama bado huna mishe nyingine ya kufanya unategemea upolisi basi nikwambie tu Ukweli mchungu inaenda kuwa mara ya Tisa unakosa nafasi! Amini kwambahata mimi nilikua naongea kama wewe miaka kadhaa iliyopita na niliamini hivyohivyo ila kuna muda ulifika nikajua kuishi kwenye uhalisia na kuiacha habari ya miujiza yakujifaliji hebu twende na hesabu sikatai kwamba huyo mmoja atakua siyo wewe wala sio kwamba ciujui utofauti baada ya kuingia shida ni kua unaingiaje? chukua hesabu ndogo hapa "ufundi,certificate,diploma na degree zote zilizotajwa Tanzania bara na visiwani hazitazidi jumla ya watu 300 (nakwambia kitu ambacho nimeshuhudia mara nyingi) kama umri unaruhusu kwa Nini usijishushe uanzie kidogo chenye uhakika tena ukikaa miaka mitatu tu unarudi pale ulipostahili tena na ongezeko la daraja, nakuhakikushia endapo unarafiki Yako aliyejishusha kuombea elimu ya chini atamaliza miaka mitatu atabadirika tena kama ni mjanja ahamie dar asome masters kimya kimya open university kwa gharama zake hawatomtiria maanani sana kwa kua wanajua ni elimu ndogo hawezi furukuta akimaliza hiyo masters(mfano sis wa IT unaweza soma hata monotoring and evaluation masters ni mwaka mmoja na huku unasonga na kushika lindo usiku ukiongea vizuri na wakubwa unapangiwa usiku)ukimaliza unawapa masters yako chap unalamba tengo hata kwa kuchelewa muda huo wewe uliyekomaa na kuingilia degree Nafasi zikawa zimeuzwa na ukakaa home utakua na nini?,nakushauri kikubwa ni utimize vigezo hawakupangiii uingilie Nini Moto utauona mwenyewe utakapo kuta rafiki zako wa chuo wapo kweny mafunzo kwa form six utaniamini 😅😅😅
Ndo utamu wa Jf huu napost mwenyewe, najitukana mwenyewe, najitetea mwenyewe, najishauri mwenyewe 😃😃😃😃 mambo ya uhalisia pelekeni facebook huku ni mwendo wa kwenda na upepo na kuchangamsha Genge! Niwatoe tu hofu mimi sina connection na mimi pia napambana vile vile na mziki utakuwa mnene haitakuwa rahisi wa connection wapo, wajuaji wapo, wachawi wapo, wazee wa maombi na kukesha kanisi tupo kwahyo show itakuwa kali sanamaana hawa watu wa namna hii hawakawii kuchange from Jeremiah to Fredrick
😂😂😂
Kama Ni Bachelor Ya Civil Jiandae Kwa Oral Interview hasa utaulizwa maswali mbalimbali yanayohusu Construction, pia maswali ya Tools mbalimbali za Autocad na jinsi ya kuzitumia....Wakuuu interview fani ya civil engineering maswali yakoje
CCP Maximum Navyo fahamu Ni 4000 Haizidi Labda Kama Kutakuwa Na Mabadiliko MengineJumla ya majina ya walioitwa kwenye usahili wa Jeshi la Polisi ni 33,998. yaan 34,000 kasoro mtu mbili.
Tanzania ni watu 31,930
Zanzibar ni watu 2,068
alooo shuhuri ni pevu sasa sijui bogi linataka Askari wa ngap hapo usikute panga likapita na zaid ya watu buku thelasin 30...
Dj gonga midundo kuchangamke😄
Hizo nguo za mazoezi vijana walizoambiwa waende nazo ni za siku gani?Salamu Wakuu Kwa Mara Nyingi Interview Za POLISI Huwa Na Siku Shughuli Tofauti tofauti kulingana na ratiba yao huska kwa mfano:
♂️SIKU YA KWANZA: Kujiandikisha Taarifa Zako Binafsi Mfano (Majina/Miaka/Dini)
♂️SIKU YA PILI: Uhakiki Wa Vyeti (Beba Vyeti Vyako Vyote Original, Usisahau Namba Ya NIDA/Kitambulisho)
KUMBUKA: Usiwe Na Hofu Vya Utofauti Wa Majina Ya Vyeti Nenda DO YOUR BEST, Issue Za Vyeti Zote Utazikuta CCP Kule Kuna Ma expert/Wataalamu Wa NIDA Pamoja Na Wanasheria Watashughulikia Changamoto Zote Pale Patakaposhindikana Ndo Mtu Atakatishwa Mafunzo Yake. Kwenye Suala Hili La Uraia Na Uhakiki Na Vyeti JESHI LA POLISI CHUONI Watawasaidia Sana Hadi Kieleweke.
♂️SIKU YA TATU: Ukaguzi Wa Afya (Hakikisha Una Elfu 10 Kwa Ajili Ya Vipimo Mbalimbali)...
KUMBUKA: Mtafanyiwa Ukaguzi wa mwili mzima kuanzia kuvua nguo kwa sekunde 10 na mabao juu kuonesha Mwepesi wako mbele ya askari wa jinsia huska. Mgomo wowote ukiwa ndani ya chumba hautakiwi, maana umeenda kutafuta ajira. Jiandae kukaguliwa tattoo, mshono, marin*** na mengineyo pamoja na upimwaji wa damu.
♂️ SIKU YA NNE: Kufanya Mtihani Pamoja Na Mtihani Ya Practical Kwa Kutumia Laptop/Computer Software Kwa Fani Huska.
KUMBUKA: Maswali Ya Kawaida Sana Usishinde Ukisoma Sana, Uwe Na Idea Ya Fani Yako....
♂️SIKU YA TANO: Usahili Wa Mahojiano
KUMBUKA: Maswali Ni Ya Kawaida Sana Kwa Kuzingatia Fani Yako Lakini Pia Atleast Mfahamu hata RPC Wa Mkoa wako na kamanda wa Wilaya huska, vyeo vya Jeshi La Polisi muhimu kuvijua pia....
✅MENGINEYO:
1. Zingatia Usafi Wa Mwili Na Utakavyovaa
2. Salimia Pindi Ukiitwa Kwa Mahojiano Ama Utakapo Muona Askari/Afande Mbele Ako (Wale Wa Form 6 Waliopitia Jeshini Wananielewa) Kwa Wale Ambao Hawajua Salamu Za Kijeshi Ukimwona Afande Mwambie "JAMBO AFANDE" Atakuelewa Na Kukuitikia
✔️NOTE:
Jitahidi kujibu maswali hata 3 kati ya 5 au zaidi utakayoulizwa, DON'T PANIC RELAX BROTHER/SISTER
ALL THE BEST WAKUU
Hizo nguo za mazoezi vijana walizoambiwa waende nazo ni za siku gani?
Kula yao je?
CHAI CHAIMimi nimeitwa na nilikuwa na mawazo kama yako ya kutumia cheti cha Form 4 ila nikapewa ushauri nikatumia cheti changu cha Degree nikaitwa! Suala la idadi hata huko 4 na 6 nafasi ni chache kulinganisha na idadi ya walioitwa kwahyo jambo la kutoboa usaili bado gumu ila ukishatoboa usaili nakuhakikishia utajuta kwanini hukuweka cheti cha Degree, Uoga wako ndio umasikini wako! Unaogopaje competition? Hata kama nafasi ingekuwa 1 kwa watu Milioni kumi kwaninj huyo mmoja asiwe wewe? Hujiamini yani unajiona hufai kupata nafasi utashindwa ndo maana unakimbilia kwenye wengi kutafuta huruma! Hiyo mindset ya kufeli achana nayo