CHAI CHAI…..wakuu iyo ni chai tena ya tangawiziMimi sina Connection, Sina ndugu yoyote Polisi, GPA yangu ni 3.0, sijui watauliza maswali gani, sijui wana mazoezi gani, mtaani sijafanya na sifanyi mazoezi ya aina yoyote ile ila nakuhakikishia CCP naenda 100% Sitegemei bahati,sibahatishi, Sina hofu, Sina wasi wasi, sihangaiki na notes zozote, sisomi popote, Siulizi mtu wala mahali popote kuhusu usaili utakuwaje, Sitajichosha najiamini nitajibu ninachokijua tu ila mwisho wa siku tutakutana CCP! Piga screenshot hii message PDF ikitoka tuje hapa kuleta ushuhuda!
Du aisee nimesoma ugomvi wenu nimeona jamaa ana negative mindset ya kutotoboa ndyo maana anashauri watu kutumia vyeti vya form 4 wakati Wana elimu kubwa.Kwa mtazamo huu Kaka huyu jamaa anaweza akakosa mara ya 9 hata kama aliandikiwa atapata.What you think is what you attract.Tatizo lako ni hapo unapofikiri mtu akikosa kazi ya Upolisi basi atabaki nyumbani yani ndo maisha yake yataishia hapo [emoji3][emoji3][emoji3] kwani lazima upolisi? Sijui ndo wewe ulisema umeapply mara 8 ukakosa?kama ni wewe na Kama bado huna mishe nyingine ya kufanya unategemea upolisi basi nikwambie tu Ukweli mchungu inaenda kuwa mara ya Tisa unakosa nafasi! Amini kwamba
Haya wewe kakeshe unasoma ili utoboe 😃😃😃 wakati usaili unataka mbio, kama una mbio basi tukutane CCP
NaamHatimaye ni Kesho
Shukran mkuuKama Ni Bachelor Ya Civil Jiandae Kwa Oral Interview hasa utaulizwa maswali mbalimbali yanayohusu Construction, pia maswali ya Tools mbalimbali za Autocad na jinsi ya kuzitumia....
Pia uwe Na Idea Ya Kutumia AUTOCAD Na Protastructure Maana Mtapewa Mchoro kisha Mchore kwa dakika 10 au zaidi...
All the best Mkuu...
acha kujikweza unakazi nzuri au uwezo wa kuipata ndo upeleke vinyanya mshenzi kwenye laki saba sasa wewe aliyekwambia ukaemtaani nani ci maamuzi yako mimi nimeanza kuomba military organs zingine sio polisi na jkt ndo kilikua kikwazo polisi nimeomba mwakahuu na nimeitwa mimi nakwambia ukweli sio muigizaji Kama wewe na usilolojua kwa fani yangu naweza nikaingia polisi na nisiwe polisi ukanikuta kwingine muulize huyo mbanga bwabwa atakwambia😅😅😅😅Tatizo lako ni hapo unapofikiri mtu akikosa kazi ya Upolisi basi atabaki nyumbani yani ndo maisha yake yataishia hapo 😀😀😀 kwani lazima upolisi? Sijui ndo wewe ulisema umeapply mara 8 ukakosa?kama ni wewe na Kama bado huna mishe nyingine ya kufanya unategemea upolisi basi nikwambie tu Ukweli mchungu inaenda kuwa mara ya Tisa unakosa nafasi! Amini kwamba
Vijana mnapgana vita mtasaidiana kweli kwenye mtihanacha kujikweza unakazi nzuri au uwezo wa kuipata ndo upeleke vinyanya mshenzi kwenye laki saba sasa wewe aliyekwambia ukaemtaani nani ci maamuzi yako mimi nimeanza kuomba military organs zingine sio polisi na jkt ndo kilikua kikwazo polisi nimeomba mwakahuu na nimeitwa mimi nakwambia ukweli sio muigizaji Kama wewe na usilolojua kwa fani yangu naweza nikaingia polisi na nisiwe polisi ukanikuta kwingine muulize huyo mbanga bwabwa atakwambia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
mbio ni raundi tatu tu hazizidi mkuu utazunguka uwanja kwa makundi watakua wanakata wa mwisho kila kundi na hakuna hata atakepigwa doso askari wanajua hamjapimwa afya bado kitakacho tuua ni kukaa huku tumekunja miguu kwa mstari hadi siku usaili unaisha kwa wale wa taaluma mbio hakuna kuna written exam ya fani yako,then oral,then practical kwa fani kama Cyber na ICT then mwisho afya na kusubili majibu kama unafani kusoma muhimu sikutaniiNatamani sana nitaje jina langu na namba zangu kabisa ila bahati mbaya kuna maafande humu isije kesho tukakmiana kisa tu comment ya Jf yenye nia ya kuchangamsha genge mtu akachukulia personal
mimi sitakuwepo mkuu😅😅😅😅 we si unafanyia kwa wasomiVijana mnapgana vita mtasaidiana kweli kwenye mtihan
Shukran mkuu
Prota unapewa udesign au?
Nenda Mwamba Hamna Hayo Mambo Kajaribu Bahati Yakowajuzi nauliza niko na urefu wa futi 5.2 vp nikajaribu zari au nisijishoshe kwenda kabisa kwenye usahili?
[emoji122]Wanapima tu uelewa wako wa namna ya kutumia command mbalimbali kwenye toolbar pale
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mimi mwenyew sipomimi sitakuwepo mkuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we si unafanyia kwa wasomi
Nenda kituo kikubwa cha polisi cha mkoamsaada jamani, ofisi za rpc arusha ziko wapi?
Wewe timba tu mzee wa kazi hata kama una Futi 1 wewe timba tu hakuna kurudi nyuma, yani hata ukiwa na Ngwengwe wewe timba tu itafahamika huko hukowajuzi nauliza niko na urefu wa futi 5.2 vp nikajaribu zari au nisijishoshe kwenda kabisa kwenye usahili?