Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Ni kweli lakini kaka c unajua tena wengine tunaforce tuu sio kwamba hatupendi bali Kuna muda mwili unakusaliti
Issue Ya Mwili Kukataa Ipo Sana... Kuna Muda Hamna Budi Ku Force Mwili Mambo Yaende

Kuna Watu Walikuwa Madokta/Mafundi Ila Walikata Vitengo... Ukipata Nafasi Ya Kitengo Kubali Ila Jua Kwamba Upambane Kufahamu Issue Mafunzo mengine muhimu ambayo Wenzako wameyapata.

Acha kujisifu kwa kuwaoshea wenzako kuhusu kitengo chako... Kitengo hakidumu hadi mkoani ni muhimu kujua kazi utakazoenda kufanya mkoani utakapopangwa.

MKOANI KWA RPC/DCO Hawajui kwamba ulikuwa kitengo wanajua ulikuwa MAFUNZONI Na Lazima Utekeleze Utakachoelekezwa.
 
Kitengo gani ni kizuri eti wakuu maana nmeskia kuna vitengo kama upelelezi, utrafik, FFU, polisi kawaida wa kukaa kituoni na lindo, na vinginevingine uko?
 
Issue Ya Mwili Kukataa Ipo Sana... Kuna Muda Hamna Budi Ku Force Mwili Mambo Yaende

Kuna Watu Walikuwa Madokta/Mafundi Ila Walikata Vitengo... Ukipata Nafasi Ya Kitengo Kubali Ila Jua Kwamba Upambane Kufahamu Issue Mafunzo mengine muhimu ambayo Wenzako wameyapata.

Acha kujisifu kwa kuwaoshea wenzako kuhusu kitengo chako... Kitengo hakidumu hadi mkoani ni muhimu kujua kazi utakazoenda kufanya mkoani utakapopangwa.

MKOANI KWA RPC/DCO Hawajui kwamba ulikuwa kitengo wanajua ulikuwa MAFUNZONI Na Lazima Utekeleze Utakachoelekezwa.
Hahah Kwahyo ukikimbilia kitengo mwisho wa siku baada ya mafunzo unatoka nangaa au sio
 
Issue Ya Mwili Kukataa Ipo Sana... Kuna Muda Hamna Budi Ku Force Mwili Mambo Yaende

Kuna Watu Walikuwa Madokta/Mafundi Ila Walikata Vitengo... Ukipata Nafasi Ya Kitengo Kubali Ila Jua Kwamba Upambane Kufahamu Issue Mafunzo mengine muhimu ambayo Wenzako wameyapata.

Acha kujisifu kwa kuwaoshea wenzako kuhusu kitengo chako... Kitengo hakidumu hadi mkoani ni muhimu kujua kazi utakazoenda kufanya mkoani utakapopangwa.

MKOANI KWA RPC/DCO Hawajui kwamba ulikuwa kitengo wanajua ulikuwa MAFUNZONI Na Lazima Utekeleze Utakachoelekezwa.
Ni kweli mkuuu Asante Kwa ushauRi wako uliotukuka 🙏


Ivi kwani wanakuchagua ww au ww ndo unajipeleka?
 
Vip kuhusu utaratibu wa kupata cheo, hua wanazingatia nini kwa askar mpya kupandishwa cheo ukiachana na icho cheo cha kwanza cha uconstable?
Usiwaze Cheo Sana... Muhimu Kazi Za Watu Uzifanye Kwa Usahihi Na Umakini Kwa Kufuata Maelekezo

NIDHAMU Ndo Jambo Mama Zingatia Hilo...

Cheo Kuna Muda Specific Iliyowekwa Lakini Pia Uhitaji Wa Vyeo Utaongea Wenyewe Wakati Huska

Mfano Kwa Askari Wa Elimu Level Ya Form 4 Hadi Diploma Baada Ya Constable Itabidi Uende Coplo Kozi Baada Ya Miaka 3 Ila Nidhamu Itazingatiwa Kama Kigezo

Pia Askari Mwenye Elimu Ya Degree Baada Ya Constable Ataenda Sergeant Kozi Baada Ya Miaka 3 Au Zaidi Baadae Assistant Inspector Baada Ya Miaka 3 Au Zaidi.

Muhimu NIDHAMU...
 
Na

Na je vipi Kama ikatokea katikati ya corse ukaumwa may b ikakuhitaji ukae bila kufanya issues ngumu Kwa miezi miwili au mitatu apa unarudishwa nyumbani au watakuvumilia
Ukipata ugonjwa wa Afya kwa muda mrefu truly utarudishwa nyumbani ila kama UKIUMIA KATIKA MAFUNZO Mfano Kupata Ajali Jeshi Litakubeba Na Kukusaidia Hadi Umalize Kozi.

NOTE: Hii Inategemea Na Maelekezo Na Utashi Wa Jeshi Wenyewe Kuona Unafaa Na Utaweza Kulisaidia Hapo Mbeleni.... Afya Ndo MTAJI Wako Mafunzoni.
 
Swa mkuu shuklani
Ukipata ugonjwa wa Afya kwa muda mrefu truly utarudishwa nyumbani ila kama UKIUMIA KATIKA MAFUNZO Mfano Kupata Ajali Jeshi Litakubeba Na Kukusaidia Hadi Umalize Kozi.

NOTE: Hii Inategemea Na Maelekezo Na Utashi Wa Jeshi Wenyewe Kuona Unafaa Na Utaweza Kulisaidia Hapo Mbeleni.... Afya Ndo MTAJI Wako Mafunzoni.
 
Usiwaze Cheo Sana... Muhimu Kazi Za Watu Uzifanye Kwa Usahihi Na Umakini Kwa Kufuata Maelekezo

NIDHAMU Ndo Jambo Mama Zingatia Hilo...

Cheo Kuna Muda Specific Iliyowekwa Lakini Pia Uhitaji Wa Vyeo Utaongea Wenyewe Wakati Huska

Mfano Kwa Askari Wa Elimu Level Ya Form 4 Hadi Diploma Baada Ya Constable Itabidi Uende Coplo Kozi Baada Ya Miaka 3 Ila Nidhamu Itazingatiwa Kama Kigezo

Pia Askari Mwenye Elimu Ya Degree Baada Ya Constable Ataenda Sergeant Kozi Baada Ya Miaka 3 Au Zaidi Baadae Assistant Inspector Baada Ya Miaka 3 Au Zaidi.

Muhimu NIDHAMU...
Anhaa sawa mkuu
 
Kwamba unamaanisha mishahara kwa sasa ipo chini zaidi ya apo au mm ndo sijakuelewa?🙄
Kama alivyoelezea LUGONO Hapo juu... Mishahara Iko poa Kwa Sasa Ndani Ya Jeshi ila inategemea na Elimu Na Cheo... Kwa Constable Mwenye Degree Ya Afya Na Tehama Now wanalipwa 1M+

Constable Form 4 Analipwa 460+
Diploma Constable 530+

Hapo Bado Hesabu Za Allowance
 
Dah Kwaio Kwa sisi kama tukibahatika kupata nafac tunawasubiri Hawa wa December warudi ndo na sisi twende
 
Kama alivyoelezea LUGONO Hapo juu... Mishahara Iko poa Kwa Sasa Ndani Ya Jeshi ila inategemea na Elimu Na Cheo... Kwa Constable Mwenye Degree Ya Afya Na Tehama Now wanalipwa 1M+

Constable Form 4 Analipwa 460+
Diploma Constable 530+

Hapo Bado Hesabu Za Allowance
What about form6?
 
Naskia ukienda uko ishu ya kuomba mungu ni kwamba usiumweumwe hovyo mzee ukiwa unaumwaumwa wanakwambia ww ni unfit then unarud nyumban na nafas yako chapu tu anapewa mtu mwingine 🤔
Unfit Kwelii Unarudishwa Ila Itachukua Muda kama kozi ilishaanza tayari... Nafasi yako kuchukuliwa sio issue ndogo ni mchakato sana sio kizembe hivo

YANASEMWAGWA HIVO YAPO ILA SIJAWAHI KUSHUHUDIA HILO KWA KWELII
 
Unfit Kwelii Unarudishwa Ila Itachukua Muda kama kozi ilishaanza tayari... Nafasi yako kuchukuliwa sio issue ndogo ni mchakato sana sio kizembe hivo

YANASEMWAGWA HIVO YAPO ILA SIJAWAHI KUSHUHUDIA HILO KWA KWELII
Sawa mkuu…vip na ww ni polisi nn mkuu?
 
Ni kweli mkuuu Asante Kwa ushauRi wako uliotukuka 🙏


Ivi kwani wanakuchagua ww au ww ndo unajipeleka?
Unaweza Kujipeleka Mwenyewe Mwisho Wa Siku Unakuwa Kitengo Moja Kwa Moja Ofisini/Zahanati/Dukani...

Pia Kuna Vitengo Vinatangazwa Kama Mafundi/Viongozi... Kama Mwili Unaona Umegoma Nenda Tu Kazi Utajulia Huko Huko..

MAANA:: KURUTA ANAJUA KILA KITU HATA AMBACHO HAKIJUI ATAJUA AKISHAPATA KITENGO
 
Back
Top Bottom