Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Intact mkuu kama kuna egesho la muda kona hizo niibuke.. mana mpaka mwez wa tisa hapa kimbembeUnapanda mnazi kwa mkono mmoja geto na kulala tu au sioo πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intact mkuu kama kuna egesho la muda kona hizo niibuke.. mana mpaka mwez wa tisa hapa kimbembeUnapanda mnazi kwa mkono mmoja geto na kulala tu au sioo πππππππ
Sasa kama ni hivo kwann walitangaza ajira tangu tareh10 mwez wa5 tena wakakazia mwisho wa kutuma maombi ni tareh16 mwez uo uo!π€β¦..aisee kama kweli ni hivo mpka mwez wa9 bac ntaamin hawa jamaa wanashida sio bureMkuu amini nachokuambia..
Polisi kuita watu mpaka mwezi wa tisa...
Hii imekaa kibajeti zaidi
Mkuu unanichekesha tena na ilo jina lako ndo nacheka zaidπππβ¦β¦mm sina mkuu tukomae tu mpka watakavotoa majinaIntact mkuu kama kuna egesho la muda kona hizo niibuke.. mana mpaka mwez wa tisa hapa kimbembe
Au kama vip tukitane kigamboni keshoMkuu
Mkuu unanichekesha tena na ilo jina lako ndo nacheka zaidπππβ¦β¦mm sina mkuu tukomae tu mpka watakavotoa majina
Pamoja sna mkuuββ¦.we nenda tu kapige mchakato maana wengne tumetoka njee ya jiji kdgo alaf na siku yenyewe ni keshoAu kama vip tukitane kigamboni kesho
Kampuni ya JOVS ECOGREEN COMPANY LTD wanatanga ajira kwenye nafasi zifwatazo
1. Wapishi/watengenezaji wa mikate ( awe na ujuzi )
2. Watengenezaji wa yoghurt ( utafundishwa kiwandan)
3. Muhasibu ( awe na vyeti vya kitaaruma)
4. Wasambazaji wa bidhaa za kampuni
5. Afisa masoko( awe amesomea course zinazohusiana na maswala ya masoko kwa ngazi ya diploma au degree)
6. Usafi eneo la kiwanda
INTERVIEW NI TAREHE 18 JULY
Kiwanda kipo DAR ES SALAAM, KIGAMBON, DARAJAN ( NUNGE)
Msaidie mwenzako Fursa na Ajira kwa ku-share link
Ukipata mchongo mwingine wa siku za mbeleni tuwekee humu mkuuAu kama vip tukitane kigamboni kesho
Kampuni ya JOVS ECOGREEN COMPANY LTD wanatanga ajira kwenye nafasi zifwatazo
1. Wapishi/watengenezaji wa mikate ( awe na ujuzi )
2. Watengenezaji wa yoghurt ( utafundishwa kiwandan)
3. Muhasibu ( awe na vyeti vya kitaaruma)
4. Wasambazaji wa bidhaa za kampuni
5. Afisa masoko( awe amesomea course zinazohusiana na maswala ya masoko kwa ngazi ya diploma au degree)
6. Usafi eneo la kiwanda
INTERVIEW NI TAREHE 18 JULY
Kiwanda kipo DAR ES SALAAM, KIGAMBON, DARAJAN ( NUNGE)
Msaidie mwenzako Fursa na Ajira kwa ku-share link
Pitia uzi wangu kule jukwaa la ajiraUkipata mchongo mwingine wa siku za mbeleni tuwekee humu mkuu
Mchakato wa kuanza ku pick watu hata bado ujaanza mkuu..Sasa kama ni hivo kwann walitangaza ajira tangu tareh10 mwez wa5 tena wakakazia mwisho wa kutuma maombi ni tareh16 mwez uo uo!π€β¦..aisee kama kweli ni hivo mpka mwez wa9 bac ntaamin hawa jamaa wanashida sio bure
Hahahahah kwamba ata ku pick watu hawajaanza!! masihara ayo mkuuππMchakato wa kuanza ku pick watu hata bado ujaanza mkuu..
Wamefanya vile ili wapate mda merefu wa kuchambua data
Amini kwamba mkuu...Hahahahah kwamba ata ku pick watu hawajaanza!! masihara ayo mkuuππ
Nani kakupa iyo lonja mkuuβ¦..au kaamua akujambishe kwanza maana watu wanapenda sana kututetemesha sisi majoblessπAmini kwamba mkuu...
Mi mwenyewe hapa nimechoka nimeona nitulie tu
Hapana mkuu...N
Nani kakupa iyo lonja mkuuβ¦..au kaamua akujambishe kwanza maana watu wanapenda sana kututetemesha sisi majoblessπ
Zoezi hilo limeshaisha muda mrefu!Mchakato wa kuanza ku pick watu hata bado ujaanza mkuu..
Wamefanya vile ili wapate mda merefu wa kuchambua data
Uhakika?Zoezi hilo limeshaisha muda mrefu!
Uelewi kitu mkuu tuliaZoezi hilo limeshaisha muda mrefu!
Mkuu jtatu kuna kitu nikumbushe takutumia PM kule ujioneeUhakika?
Pamoja mkuuβMkuu jtatu kuna kitu nikumbushe takutumia PM kule ujionee