mr himself yah
Member
- Jul 5, 2024
- 11
- 5
Watu waliochaguliwa kufanya interview kinondoni wanafanyia maeneo gan? Kwenye kituo kikubwa cha polisi cha wilaya au kwa mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa msaada kwa anaejua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Degree hawataki, utaenda kulivuna jeshi😂😂😂😂
Upo sahihi %100Kmy kimetawala huko labda wanasubiri maadhimisho ndio wa announce?
Sikupita mujibu masta. huenda ndo sababuUliweka cheti cha jkt?
Wengi hawajapita na wamechaguliwaSikupita mujibu masta. huenda ndo sababu
Lakin pia kwa form6 wanazingatia wale wa sayansi mfano comb za PCM, PGM na PCBSikupita mujibu masta. huenda ndo sababu
Naskia hio tarehe 29 ni kucheki afya na kukagua mwili. Kuna uwezekano wa kufanya written intavyuu pia.shusheni
anhaaNaskia hio tarehe 29 ni kucheki afya na kukagua mwili. Kuna uwezekano wa kufanya written intavyuu pia.
Sa sijui nguo za michezo ni za nini tutakimbia au
Kuna uwezekano wa mabio apo mkuuNaskia hio tarehe 29 ni kucheki afya na kukagua mwili. Kuna uwezekano wa kufanya written intavyuu pia.
Sa sijui nguo za michezo ni za nini tutakimbia au
Ahahahahahhahamabio KM ngap?
Mkuu usail unapigia wap?@
Ahahahahahhaha
Acha uoga mkuu😂mabio KM ngap?
DodomaMkuu usail unapigia wap?
Hata mm dodomaDodoma
Unaingia lin dodoma?Dodoma
Fanya tuonane mkuuHata mm dodoma