Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Nakubali familia mikazo mob✊Ongea sana..
Kuna people zinasema sana humu ngoja zifike kozi ndo wataelewa fundi manyumba ndo yupi l.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali familia mikazo mob✊Ongea sana..
Kuna people zinasema sana humu ngoja zifike kozi ndo wataelewa fundi manyumba ndo yupi l.
Huyu kagangamala aende huko tipidiiiiii😂😂Sem,, fundi majumba unaongea san,,, i appreciate it,, nkpita takufta
Litapigwa doso la kufa mtu mjipungize wenyeweDaaah nyie huu usahili ni 🔥🔥 imagine kuna mikoa wana watu 3K 1.5K 2K...
huo ushindani wake kutoboa hapo ukiachilia vimemo
na Bogi range ya watu n 2000-3000
Kunyweni maji mengi wapwa😪
Kula tizi la kufa mtu mpk mwenyewe unaagaLitapigwa doso la kufa mtu mjipungize wenyewe
Sku zenyew zmebaki 3 kam hujapga skuzote c ndo aibuKula tizi la kufa mtu mpk mwenyewe unaaga
Hii ndio kasheshe unaweza kwenda kibaha kumbe usahili bagamoyo noma sana....wangekua wanasema kwa kweli eneo la usahiliMana kuna dogo kapangiwa usaili pwani ASA hajui aende wapi
Kwqn mwaka Jana walolitumia kambi gani? Mana nahisi ipiyotumika mwak Jana ndo itakua sahihiHii ndio kasheshe unaweza kwenda kibaha kumbe usahili bagamoyo noma sana....wangekua wanasema kwa kweli eneo la usahili
tema lonja afandeWakuu wakuu wakuu📢📢📢
Nasemaje nasemaje litakufa jitu nawaambia…jitu lazima life📢📢📢Litapigwa doso la kufa mtu mjipungize wenyewe
Za chini chini nilizozipata mmh ni noma….. mwaka huu ndo kwa mara ya kwanza wamesema tuende na raba na nguo za michezizo alaf pia wameita watu wengii sana, hivi unajua ni kwanini wamefanya ivo???tema lonja afande
mwaka huuu ukikaza buti unapenya wa mjomba kunituma sipo wengiZa chini chini nilizozipata mmh ni noma….. mwaka huu ndo kwa mara ya kwanza wamesema tuende na raba na nguo za michezizo alaf pia wameita watu wengii sana, hivi unajua ni kwanini wamefanya ivo???
baba kantuma hao hawakosekanag mkuumwaka huuu ukikaza buti unapenya wa mjomba kunituma sipo wengi
watakuwa wachache naona nafasi za kugombea ni nyingibaba kantuma hao hawakosekanag mkuu
Wapo weng tu mkuu…cha msingi ni kuomba munguwatakuwa wachache naona nafasi za kugombea ni nyingi
kweli kikubwa duaWapo weng tu mkuu…cha msingi ni kuomba mungu