Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Daaah nyie huu usahili ni 🔥🔥 imagine kuna mikoa wana watu 3K 1.5K 2K...
huo ushindani wake kutoboa hapo ukiachilia vimemo

na Bogi range ya watu n 2000-3000

Kunyweni maji mengi wapwa😪
 
Daaah nyie huu usahili ni 🔥🔥 imagine kuna mikoa wana watu 3K 1.5K 2K...
huo ushindani wake kutoboa hapo ukiachilia vimemo

na Bogi range ya watu n 2000-3000

Kunyweni maji mengi wapwa😪
Litapigwa doso la kufa mtu mjipungize wenyewe
 
tema lonja afande
Za chini chini nilizozipata mmh ni noma….. mwaka huu ndo kwa mara ya kwanza wamesema tuende na raba na nguo za michezizo alaf pia wameita watu wengii sana, hivi unajua ni kwanini wamefanya ivo???
 
Za chini chini nilizozipata mmh ni noma….. mwaka huu ndo kwa mara ya kwanza wamesema tuende na raba na nguo za michezizo alaf pia wameita watu wengii sana, hivi unajua ni kwanini wamefanya ivo???
mwaka huuu ukikaza buti unapenya wa mjomba kunituma sipo wengi
 
Za ndaaani kabisa nilizozipata ni kwamba litapigwa doso la kufa mtu ili mchujo uchujike vzr….maafande kunywaa maji mengi sana moyo uelee la sivyo utatoa ulimi nje kama mbwaa
 
hivi wakuu ukipata namba za RPC wa mkoa unaoenda kupiga usaili ukisema umpandie hewan, vp atazingua au??
 
Back
Top Bottom