Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Du aisee nimesoma ugomvi wenu nimeona jamaa ana negative mindset ya kutotoboa ndyo maana anashauri watu kutumia vyeti vya form 4 wakati Wana elimu kubwa.Kwa mtazamo huu Kaka huyu jamaa anaweza akakosa mara ya 9 hata kama aliandikiwa atapata.What you think is what you attract.
sio ugomvi bana😅😅😅😅😅 maisha tu
 
Salamu Wakuu Kwa Mara Nyingi Interview Za POLISI Huwa Na Siku Shughuli Tofauti tofauti kulingana na ratiba yao huska kwa mfano:

♂️SIKU YA KWANZA: Kujiandikisha Taarifa Zako Binafsi Mfano (Majina/Miaka/Dini)

♂️SIKU YA PILI: Uhakiki Wa Vyeti (Beba Vyeti Vyako Vyote Original, Usisahau Namba Ya NIDA/Kitambulisho)

KUMBUKA: Usiwe Na Hofu Vya Utofauti Wa Majina Ya Vyeti Nenda DO YOUR BEST, Issue Za Vyeti Zote Utazikuta CCP Kule Kuna Ma expert/Wataalamu Wa NIDA Pamoja Na Wanasheria Watashughulikia Changamoto Zote Pale Patakaposhindikana Ndo Mtu Atakatishwa Mafunzo Yake. Kwenye Suala Hili La Uraia Na Uhakiki Na Vyeti JESHI LA POLISI CHUONI Watawasaidia Sana Hadi Kieleweke.


♂️SIKU YA TATU: Ukaguzi Wa Afya (Hakikisha Una Elfu 10 Kwa Ajili Ya Vipimo Mbalimbali)...

KUMBUKA: Mtafanyiwa Ukaguzi wa mwili mzima kuanzia kuvua nguo kwa sekunde 10 na mabao juu kuonesha Mwepesi wako mbele ya askari wa jinsia huska. Mgomo wowote ukiwa ndani ya chumba hautakiwi, maana umeenda kutafuta ajira. Jiandae kukaguliwa tattoo, mshono, marin*** na mengineyo pamoja na upimwaji wa damu.

♂️ SIKU YA NNE: Kufanya Mtihani Pamoja Na Mtihani Ya Practical Kwa Kutumia Laptop/Computer Software Kwa Fani Huska.

KUMBUKA: Maswali Ya Kawaida Sana Usishinde Ukisoma Sana, Uwe Na Idea Ya Fani Yako....

♂️SIKU YA TANO: Usahili Wa Mahojiano

KUMBUKA: Maswali Ni Ya Kawaida Sana Kwa Kuzingatia Fani Yako Lakini Pia Atleast Mfahamu hata RPC Wa Mkoa wako na kamanda wa Wilaya huska, vyeo vya Jeshi La Polisi muhimu kuvijua pia....

✅MENGINEYO:
1. Zingatia Usafi Wa Mwili Na Utakavyovaa
2. Salimia Pindi Ukiitwa Kwa Mahojiano Ama Utakapo Muona Askari/Afande Mbele Ako (Wale Wa Form 6 Waliopitia Jeshini Wananielewa) Kwa Wale Ambao Hawajua Salamu Za Kijeshi Ukimwona Afande Mwambie "JAMBO AFANDE" Atakuelewa Na Kukuitikia

✔️NOTE:
Jitahidi kujibu maswali hata 3 kati ya 5 au zaidi utakayoulizwa, DON'T PANIC RELAX BROTHER/SISTER

ALL THE BEST WAKUU
Mkuu hapo kwenye suala kupima afya.

Kwenye portal yao application kulikuwa na kipengele cha kujaza kuonesha kama una-ulemavu wowote mathalani husikii vizuri, huoni vizuri, albinism nk. Kama wanataka watu walio wazima timamu kimwili na kiakili. Lengo la icho kipengele kwenye recruitment portal yao cha kuonesha ulemavu lengo huwa ni nini ?
 
Mkuu hapo kwenye suala kupima afya.

Kwenye portal yao application kulikuwa na kipengele cha kujaza kuonesha kama una-ulemavu wowote mathalani husikii vizuri, huoni vizuri, albinism nk. Kama wanataka watu walio wazima timamu kimwili na kiakili. Lengo la icho kipengele kwenye recruitment portal yao cha kuonesha ulemavu lengo huwa ni nini ?
Jiongeze boss
 
Mkuu hapo kwenye suala kupima afya.

Kwenye portal yao application kulikuwa na kipengele cha kujaza kuonesha kama una-ulemavu wowote mathalani husikii vizuri, huoni vizuri, albinism nk. Kama wanataka watu walio wazima timamu kimwili na kiakili. Lengo la icho kipengele kwenye recruitment portal yao cha kuonesha ulemavu lengo huwa ni nini ?
Naamini Aliyejaza hicho kipengele kwamba ana madhaifu au ulemavu wa kiungo hakuwa na bahati ya Kuitwa kwenye usaili...

Kama alivyosema bro ni KUJIONGEZA TU kwa ku skip hvo vipengele kwenye Portal
 
Naamini Aliyejaza hicho kipengele kwamba ana madhaifu au ulemavu wa kiungo hakuwa na bahati ya Kuitwa kwenye usaili...

Kama alivyosema bro ni KUJIONGEZA TU kwa ku skip hvo vipengele kwenye Portal
kuna watu ea fani, nawafahamu wana hard of hearing na wameitwa. Ndio nimewaza labda itakuwa utaratibu wa majeshi umebadilika kwa upande wa watu wenye ulemavu.
 
kuna watu ea fani, nawafahamu wana hard of hearing na wameitwa. Ndio nimewaza labda itakuwa utaratibu wa majeshi umebadilika kwa upande wa watu wenye ulemavu.
Naamini kwamba utimamu wa mwili unakosudiwa kwenye ukaguzi polisi ni ule ambao hautamuathiri mtu kwenye kupiga kwata (mfano; ulemavu wa viungo kama miguu au mikono, mshono mkubwa etc) na wa kimaadili (mfano; absence of marinda) na afya kwa ujumla kama vile muathirika wa vvu au maradhi chronic ya moyo.

Uziwi, ulemavu wa ngozi na mfano wa hayo sidhani kama vinamzuia mtu kupiga mazoez na kufanya kazi especially kama fani yake inahitaji vitendo zaidi kuliko porojo.
Kwahio me naamini atapita, hawajamuita kwenye usaili kwa bahati mbaya!
 
Naamini kwamba utimamu wa mwili unakosudiwa kwenye ukaguzi polisi ni ule ambao hautamuathiri mtu kwenye kupiga kwata (mfano; ulemavu wa viungo kama miguu au mikono, mshono mkubwa etc) na wa kimaadili (mfano; absence of marinda) na afya kwa ujumla kama vile muathirika wa vvu au maradhi chronic ya moyo.

Uziwi, ulemavu wa ngozi na mfano wa hayo sidhani kama vinamzuia mtu kupiga mazoez na kufanya kazi especially kama fani yake inahitaji vitendo zaidi kuliko porojo.
Kwahio me naamini atapita, hawajamuita kwenye usaili kwa bahati mbaya!
Dah masikio ni muhimu sana kaka Parade atapigaje hujui mtu akiwa hasikii vizuri anapoteza body balance hususani mwobdoko wake
 
Dah masikio ni muhimu sana kaka Parade atapigaje hujui mtu akiwa hasikii vizuri anapoteza body balance hususani mwobdoko wake
Lakini huenda ndugu nakumbuka kuna kikosi kipo cha jkt kinamiundombinu ya watu wenye ulemavu hata waviungo wanamaliza ila mafunzo yao sio ya shuluba
 
Kumekucha kumekucha kumekucha Ni jambo la kumshukuru Mungu kuiona siku hii ya leo, nawaombea wote tunaokwenda kwenye usaili tumalize salama tusipatwe na matatizo yoyote yale
 
kuna watu ea fani, nawafahamu wana hard of hearing na wameitwa. Ndio nimewaza labda itakuwa utaratibu wa majeshi umebadilika kwa upande wa watu wenye ulemavu.
Kama ana matatizo ya kusikia vizuri lazima awe mwangalifu sana mbeleni maana hata ibaki mwezi 1 kabla ya kumaliza Mafunzo wanaweza kumfukuza Mafunzo.... Awe makini sana maana kule issue ya kusikia vizuri ni muhimu sana ile aweze kufanya vitendo kwa usahihi zaidi
 
Salamu Wakuu Kwa Mara Nyingi Interview Za POLISI Huwa Na Siku Shughuli Tofauti tofauti kulingana na ratiba yao huska kwa mfano:

♂️SIKU YA KWANZA: Kujiandikisha Taarifa Zako Binafsi Mfano (Majina/Miaka/Dini)

♂️SIKU YA PILI: Uhakiki Wa Vyeti (Beba Vyeti Vyako Vyote Original, Usisahau Namba Ya NIDA/Kitambulisho)

KUMBUKA: Usiwe Na Hofu Vya Utofauti Wa Majina Ya Vyeti Nenda DO YOUR BEST, Issue Za Vyeti Zote Utazikuta CCP Kule Kuna Ma expert/Wataalamu Wa NIDA Pamoja Na Wanasheria Watashughulikia Changamoto Zote Pale Patakaposhindikana Ndo Mtu Atakatishwa Mafunzo Yake. Kwenye Suala Hili La Uraia Na Uhakiki Na Vyeti JESHI LA POLISI CHUONI Watawasaidia Sana Hadi Kieleweke.


♂️SIKU YA TATU: Ukaguzi Wa Afya (Hakikisha Una Elfu 10 Kwa Ajili Ya Vipimo Mbalimbali)...

KUMBUKA: Mtafanyiwa Ukaguzi wa mwili mzima kuanzia kuvua nguo kwa sekunde 10 na mabao juu kuonesha Mwepesi wako mbele ya askari wa jinsia huska. Mgomo wowote ukiwa ndani ya chumba hautakiwi, maana umeenda kutafuta ajira. Jiandae kukaguliwa tattoo, mshono, marin*** na mengineyo pamoja na upimwaji wa damu.

♂️ SIKU YA NNE: Kufanya Mtihani Pamoja Na Mtihani Ya Practical Kwa Kutumia Laptop/Computer Software Kwa Fani Huska.

KUMBUKA: Maswali Ya Kawaida Sana Usishinde Ukisoma Sana, Uwe Na Idea Ya Fani Yako....

♂️SIKU YA TANO: Usahili Wa Mahojiano

KUMBUKA: Maswali Ni Ya Kawaida Sana Kwa Kuzingatia Fani Yako Lakini Pia Atleast Mfahamu hata RPC Wa Mkoa wako na kamanda wa Wilaya huska, vyeo vya Jeshi La Polisi muhimu kuvijua pia....

✅MENGINEYO:
1. Zingatia Usafi Wa Mwili Na Utakavyovaa
2. Salimia Pindi Ukiitwa Kwa Mahojiano Ama Utakapo Muona Askari/Afande Mbele Ako (Wale Wa Form 6 Waliopitia Jeshini Wananielewa) Kwa Wale Ambao Hawajua Salamu Za Kijeshi Ukimwona Afande Mwambie "JAMBO AFANDE" Atakuelewa Na Kukuitikia

✔️NOTE:
Jitahidi kujibu maswali hata 3 kati ya 5 au zaidi utakayoulizwa, DON'T PANIC RELAX BROTHER/SISTER

ALL THE BEST WAKUU
AZINGATIWE ANAKITU HUYU
 
Tuliopo kigoma. Mchakamchaka bado unaendelea nafasi 10 za mwanzo wanapew coupon
 
Back
Top Bottom