The royal
Member
- Jan 31, 2023
- 11
- 8
Ndo nilipokuwa namaanishaKoz inafanyik moshi sio arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nilipokuwa namaanishaKoz inafanyik moshi sio arusha
Madogo walimiminika kwa winginkupima vipimo vya awali hapa hosp jumamosi na jumapiliJamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Doooh najuta
Ni ugonjwa wa mda mfupi au upofu WA kidum ndo unaangaliwaYes Kipo...mwenye shida ya kuona...si anaweza kufyatulia risasi watu wema akiwachanganya na maadaui
Ni ugonjwa wa mda mfupi au upofu WA kidum ndo unaangaliwa
Baadhi wamemalizaVipi usaili uko jamani una isha lini?
Tupe matokeoDodoma leo ndo tumepiga pepa
Mzigo umekusanywa nafikir hata kusahihishwa badoTupe matokeo
Kuna jamaa anauliza mbanga ndo nini ahahahahahahIla wakuu mbanga muhimi sana….bila mbanga hii michezo kutoboa ni ngumuu
Za chinichini watu wameingia ofisin wakat wa kuhakiki vyeti wanamsikia afande anaeendesha zoezi la usail anaongea na simu akisema kua “mkeka tayar wakubwa washaubarik kwahiyo siwez ongeza mtu”
HahahahKuna jamaa anauliza mbanga ndo nini ahahahahahah
Watu walisema hapa jamaa angu alietoa mpunga kapigiwa Mara ooh bora angefanya biashara.. Wakuu Haya mambo bila mbanga/Mbuyu hutoboi. MKONO MTUPU HAULAMBWIZa chinichini watu wameingia ofisin wakat wa kuhakiki vyeti wanamsikia afande anaeendesha zoezi la usail anaongea na simu akisema kua “mkeka tayar wakubwa washaubarik kwahiyo siwez ongeza mtu”
Uyo mtu inaonekana ni afande pia alikua anaomba jina la mtoto wake lipachikwe kwenye mkeka then afande kagoma kamwambia wakubwa washaubarik mkeka kwahyo hamna nafas……tutatoboa kweli wakuu?😢Za chinichini watu wameingia ofisin wakat wa kuhakiki vyeti wanamsikia afande anaeendesha zoezi la usail anaongea na simu akisema kua “mkeka tayar wakubwa washaubarik kwahiyo siwez ongeza mtu”