kazi kuleta dharau tu kwenye vyombo vya dora ila mkipakwa mafuta na vibaka mnakimbilia kwa haohao mnaowatukanaMnataka kuwa majambazi wapya, poleni, huko mbeleni polisi mtakuwa na hali ngumu sana.
Gen Z itawamaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi kuleta dharau tu kwenye vyombo vya dora ila mkipakwa mafuta na vibaka mnakimbilia kwa haohao mnaowatukanaMnataka kuwa majambazi wapya, poleni, huko mbeleni polisi mtakuwa na hali ngumu sana.
Gen Z itawamaliza
Nendeni mafunzo mje mtuue...
usisubiri wa kutoka mafunzo nenda kituo cha karibu uwaambie ivo watakusaidia kukidhi haja yakoNendeni mafunzo mje mtuue....
Pamoja mkuu🤝kuna tofauti kati ya watu kuripot na kozi kufunguliwa, kozi inaaza miezi(1-2) baada ya kuripoti inatakiwa hao wakimaliza huo mwezi 25/10 kozi ifunguliwe inamaana watu wawe wamemaliza uzalendo lazima waende wa tisa huu huu tena pdf ikitoka 15/9 wataripot had 19 au 20/9 kufikia 25/10 inaanza
Sawa mkuuNawakumbusha tu kama unatumaini la kupata jiandae ha atoagi muda wakuripoti zaidi ya siki 5 mara nyingi ni 2-3
Analeta dharau kweny kazi za watu siokuna siku utajua unachokiongea utaacha dharau
Wakipakwa mafuta na vibaka wanakimbilia polisi sio 😂 😂kazi kuleta dharau tu kwenye vyombo vya dora ila mkipakwa mafuta na vibaka mnakimbilia kwa haohao mnaowatukana
Acha uoga mkuuNendeni mafunzo mje mtuue....
P1 mkuuKwa maelezo aliopewa dogo angu flani hivi ambae ana mbanga ni kanali dogo kaambiwa ajiandae atafute na namba ya NIDA kabsa mwezi wa10 ndo jkt wanaenda….so jkt ni October mkuu
Hivi kwenye kwenda depo kuripoti mnaenda wenyewe kila mtu kivyake au na bogi…?! Kwa pamoja?!
Utaratibu mfano mwaka jana kwa mkoa niliopo mimii....tarehe ya kuripoti ilivotoka (kwenye PDF) waliondokea kwa RPC na basi la Polisi la mkoani hapo na wale wa makao makuu ndo hua vivyohivyoo.Ngoja waje…..hata mm nataman kujua utaratibu Mercenary2013 mwanadodoma
Simu hakuna mzee ila kwa mazingira ya sasa naona kumelegeaa maana recruits wanapata sana simu za magendo....mambo mengi yamebadilika kwenye kozi ya PT kwa hvi sasaaHivi kumbe hapo ccp Moshi Wana ruhusu kutumia simu ??? NDANI ya chuo Kwa. Makuruta ??
Anhaa….shukrani mkuu🤝Utaratibu mfano mwaka jana kwa mkoa niliopo mimii....tarehe ya kuripoti ilivotoka (kwenye PDF) waliondokea kwa RPC na basi la Polisi la mkoani hapo na wale wa makao makuu ndo hua vivyohivyoo.
Unataka kusema kua wapo kuruta wanaotumia simu uko ccp?S
Simu hakuna mzee ila kwa mazingira ya sasa naona kumelegeaa maana recruits wanapata sana simu za magendo....mambo mengi yamebadilika kwenye kozi ya PT kwa hvi sasaa
Issue Ya Simu Ni Marufuku, CCP bado simu wanakaza sana....Unataka kusema kua wapo kuruta wanaotumia simu uko
HAPANAUnataka kusema kua wapo kuruta wanaotumia simu uko ccp?