Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Asali na maziwa vipo LUKUI kakaUhamiaji Kuna asali na maziwa nini mbona panakimbiliwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asali na maziwa vipo LUKUI kakaUhamiaji Kuna asali na maziwa nini mbona panakimbiliwa sana
Soma vzuri maelekezoMm nina umri wa miaka 24 sasa hv je nawez tumia chet cha form 4 kwel au ndy niachanenavyo kwasababu y umri
Reserve tayari walisha itwa tayari?Asali na maziwa vipo LUKUI kaka
Reserve wa wap chifu?Reserve tayari walisha itwa tayari?
Polisi moshi baada yakwenda hao walio enda mwezi wakumi 2024 hakuna reserve walio itajika au walio itwa Tena baada ya hao au ndo hamna kabisaReserve wa wap chifu?
Hakuna cha reserve watu walianza kozi mapema tuu na wako nyomi balaaaPolisi moshi baada yakwenda hao walio enda mwezi wakumi 2024 hakuna reserve walio itajika au walio itwa Tena baada ya hao au ndo hamna kabisa
...Hakuna cha reserve watu walianza kozi mapema tuu na wako nyomi balaaa
Mbona kwenye pdf walikua 3500?Wapo kama 5000 hivi ...bogi la uchaguzi hiloo
Kwaiyo mwaka huu jeshi la polisi sio laisi kutangaza ajira?Hakuna cha reserve watu walianza kozi mapema tuu na wako nyomi balaaa
WatatoaKwaiyo mwaka huu jeshi la polisi sio laisi kutangaza ajira?
SWali kama hili mbna linajibika kakaMbona kwenye pdf walikua 3500?
Dah kujichorea ramani nikazi ngum sana niwapongeze mlio funguliwa milango na mwenyezi mungu mkafanikiwa kuingia uko katika jeshi la polisiSWali kama hili mbna linajibika kaka
Wakitoa tushituane aiseeWatatoa
Data zako hazijaenda sawa sijaona bogi la pili wala latatu vipi source ya taarifa zako hazikwenda sawa mkuuAssalam Alleykum
Bogi la kwanza wataripoti 27/09/2024.. Hizi ni habari za uhakika kabisa so anyday kuanzia leo kesho PDF litatoka na wakuu washalibariki.
Bogi la pili litakuwa 04/11/2024 na Bogi la tatu ni 10/02/2025 (hizi nafasi zitatangazwa mwshoni mwa mwaka huu) wa UT nao jiandaeni mwezi ujao watu wanahitimu na mwsho wa mwaka nafasi zinatangazwa lkn km kawaida ni finyu na ni za kujuana hakuna mfano
Mambo yatanyooka tu kaka tuzidishe maombiDah kujichorea ramani nikazi ngum sana niwapongeze mlio funguliwa milango na mwenyezi mungu mkafanikiwa kuingia uko katika jeshi la polisi
Unatuambiaje kaka!? Kuaa mwaka huu watatoa kwelii??Mie naona kma ni ngumu au!! Tueleze maan we ushaingia chomboniMambo yatanyooka tu kaka tuzidishe maombi