Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

1.Nishatengeneza business plan ya 'mobile app' flani hivii ..the idea ikawa viable kabisa
Kuiuza/kuitekeleza ikawa kasheshe....japo pia nlikua mdogo sikua serious sana nayo..mwishowe....nkaachana nayo

2. Tukaanzisha Kampuni as a group tutafte investors ili tufungue kitu flani..hii nayo sio shughuli ndogo...nikaona hela zinachelewa nikaachana nayo

3.Saivi Nasoma forex sijaweka hela yoyote bado natafakari tu-najipa mwaka mzima kwny hii shughuli ntaamua rasmi 2021

bado naumiza kichwa biashara ipi sahihi kwangu

Ntasoma huu uzi wote kuboresha mawazo yangu
 
Back
Top Bottom