Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Hahaha kuna czn wangu aliwekeza kwenye kilimo cha nyanya,alikopa km laki 7 na 80
Ilikuwa wakivuna tenga litauzwa kwa 4,500
Daah kutahamaki wkt wa mavuno biashara ikuwa hovyo,nyanya kila mahara tenga mia 7
Alijuta na pesa ilikuwa ya mkopo
Uzuri wa nyanya ikipanda bei inapanda kweli..

Ikishuka sasa daaah...

Ila mwambie auze, saiv imepanda sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Forex
Baada ya kuvutiwa na uzi wa kwanza kabisa. Mzee nikapakua vitabu msuli ile ile mixer YouTube. Nikaanza kupiga practical ya live cent ya 1$ kwa 100$
Hahahah nusu mwaka no development leo nikipata profit ya 5$ kesho nachoma 20$
***** nikapiga chini na nishaisahau
Hahahaa hukutilia mkazo, na piah ulifanya haraka kukata tamaa
 
Biashara za mtandaoni zimekuwa za pasua kichwa nakumbuka enzi za four corner alliance group, forever living, mara fahari ivestments, mara global alliance,Mara cjui na zingine mnazijua hizi hazijawahi kumuacha mtu salama walikwisha jaribu kufanya kwa miaka ya karibun hapa!!!
Zina misingi yake, kama tu biashara zingine. Sasa usipoifuata utaona kuna ugumu.
 
Back
Top Bottom