Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

Tupendane Tena!! Tuwe na Umoja Tena....

Ni pale niliposimamishwa kazi !
Ndo nikawa sifai!
Btw nimeshapata kazi nyingine , yenye income kuzidi ya awali .
Atafaidi huyu mpya nilienae .
Swali la nyongeza ........

hiyo kazi utatutajia lini.tujue kama kweli income ni zaidi ya ile ya awali!!!!!!
 
Wakuu!
habarini za mida hii?
Kwa moyo wa ukunjufu kabisa..
Naombeni tuwe na umoja na upendo tena uzidi ule wa mwanzo..
Tofauti zetu tuzitupe kule..
Tuliowakwaza kwa njia yoyote ile twaombeni mtusamehe..
Mliotukwaza tayari tumeshasamehe..

Much love to you all!

From Kiwatengu & shansarie family..

CC: Arushaone, Lady doctor, watu8, 24hrs, figganigga, Mzee, Madame B, Heaven on Earth, manyasi, Mamndenyi, Baba V, Filipo, Erickb52, Chocs, Passion Lady, ladyfurahia, Judgement, Asprin, Dark City, charminglady, Fixed Point, PakaJimmy, MMAHE, KOKUTONA, Arabela, farkhina, DEMBA, Kaizer, kerucee, black woman, Smile, Munkari.. Mr Rocky, Ladymasa, Preta, marejesho, mwallu, amu, YNNAH, Jiwe Linaloishi Paloma, sosoliso, Slave, King'asti...at all

Huo ndio uungwana mkuu, pamoja sana ila sula la tani moja ya gesi muhimu!
CC: shansarie
 
Last edited by a moderator:
Wakuu!
habarini za mida hii?
Kwa moyo wa ukunjufu kabisa..
Naombeni tuwe na umoja na upendo tena uzidi ule wa mwanzo..
Tofauti zetu tuzitupe kule..
Tuliowakwaza kwa njia yoyote ile twaombeni mtusamehe..
Mliotukwaza tayari tumeshasamehe..

Much love to you all!

From Kiwatengu & shansarie family..

CC: Arushaone, Lady doctor, watu8, 24hrs, figganigga, Mzee, Madame B, Heaven on Earth, manyasi, !Mamndenyi, Baba V, Filipo, Erickb52, Chocs, Passion Lady, ladyfurahia, Judgement, Asprin, Dark City, charminglady, Fixed Point, PakaJimmy, MMAHE, KOKUTONA, Arabela, farkhina, DEMBA, Kaizer, kerucee, black woman, Smile, Munkari.. Mr Rocky, Ladymasa, Preta, marejesho, mwallu, amu, YNNAH, Jiwe Linaloishi Paloma, sosoliso, Slave, King'asti...at all

Hope kwenye red you meant 'Mwa'
Stay cool!
 
Back
Top Bottom