Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Unapokuwa na mahaba ya kugaragazwa utajikuta kuna siku utalambwa bila idhini yako, Ajibu Anacheza Mpira upi huo? Media kukenua kenua kwake ndiyo unaona ni Bonge la Mchezaji!!Kwako wewe kiazi mchezaji bora ni anayeibeba timu yake ya taifa ? Unajua chochote kweli wewe kuhusu mchezaji au unaropoka tu? Wote wanaocheza Ulaya kwa viwango vikubwa unajua timu zao zote za taifa zimefuzu mashindano makubwa? Yupo Wanyama hapo jirani tu anachezea timu kubwa kuliko mchezaji yoyote wa Uganda lakini Uganda wanafanya vizur kuliko Kenya, je hilo linatoa ukweli kuwa Wanyama sio mchezaji mzuri?
Halafu hili neno mihemko ya kike uwe unamuambia mama yako au baba yako wewe kiazi.
Siwezi kubishana na wagonjwa wa ubongo na hasa ubongo wenye ukurutu kama wako, Ukimwona ni bora kwako usilazimishe kila mtu amhusudu huyo bwana yako ndiyo maana licha ya Messi kutwaa tuzo 5 za Ballon'dor kuna watu hata hawana mapenzi nae kila mtu ana jicho lake usitake jicho lako liwe la kila mtu, Ushabiki wa Kipumbavu kama wako wa kutaka kile unachoamini kila mmoja akipende ni ushoga wa ufahamu.
Osha kichwa chako huwenda una wigi linakufanya akili yako ilale.