Tupende vya kwetu AJIBU ni mchezaji Aliyekamilika

Unapokuwa na mahaba ya kugaragazwa utajikuta kuna siku utalambwa bila idhini yako, Ajibu Anacheza Mpira upi huo? Media kukenua kenua kwake ndiyo unaona ni Bonge la Mchezaji!!

Siwezi kubishana na wagonjwa wa ubongo na hasa ubongo wenye ukurutu kama wako, Ukimwona ni bora kwako usilazimishe kila mtu amhusudu huyo bwana yako ndiyo maana licha ya Messi kutwaa tuzo 5 za Ballon'dor kuna watu hata hawana mapenzi nae kila mtu ana jicho lake usitake jicho lako liwe la kila mtu, Ushabiki wa Kipumbavu kama wako wa kutaka kile unachoamini kila mmoja akipende ni ushoga wa ufahamu.

Osha kichwa chako huwenda una wigi linakufanya akili yako ilale.
 
Povj
Povu la OMO. Wivu tu unakusumbua.
 
Huyu Ajib msimu iliopita akiwa Simba alikua anacheza chini ya kiwango kumbe alikuwa kisha nunuliwa na upande wa pili.Na alichangia sana kuikosesha Simba ubingwa!!!
 
Povj

Povu la OMO. Wivu tu unakusumbua.
Wivu unao wewe unataka kila mtu apende wimbo unaocheza, acha udada katika soka watu wanapenda wachezaji kulingana n mioyo yao inavyowatuma, usitake kila mtu awe Simba au Yanga.

Na kushadadia Wanaume hadi mishipa inakutoka ni dalili moja wapo kuwa unaweza kuwa dhaifu kwa hao wanaume.
 
Huyu dogo tumpe msimu mmoja tu baada ya hapo tunamsahau
 
Angekuwa borA angeenda ulaya cio kanjunju fc
 
Unaheeeema! Wivu utakuua mtoto wa kike. Messi anaupiga na dunia nzima inajua, mbona asihukumiwe kwa udhafu wa Argentina?
 
Unaheeeema! Wivu utakuua mtoto wa kike. Messi anaupiga na dunia nzima inajua, mbona asihukumiwe kwa udhafu wa Argentina?
Wewe nae Kipupa chako kitakufanya ukalie vidole, Messi anavyoibeba Argentina huoni au unataka Achukue Ndondo Cup ndipo ujue thamani yake, Usishiriki ngono ambayo hukujiandaa nayo utakuja kuliwa kitako.
 
Huyu dogo tumpe msimu mmoja tu baada ya hapo tunamsahau
Utaahira wa FISI huo wa kusubiri mkono uanguke aububune. Utasubiri sana. Hamjajifunza tu kuwa Yanga ni TIMAMU?

Tulimkwapua Tambwe, mkabeba yule Kiza kinene...takwimu unazijua.
Tumechukua Ajib mkabeba mwili wa Niyonzima na sasa mmeshaanza kusema ni 'pande tata'
 
Kiongozi kwani timu ya taifa anacheza Ajibu mwenyewe?

Unajua Rooney,Lampard,Jerald,Scholes mpaka wanazeeka hawajafanya chochote na Uingereza

Unajua Messi hana Kombe lolote na Argentina

Unajua Giggs hata wales haijawahi kufuzu kombe la dunia enzi zake
 
Wewe nae Kipupa chako kitakufanya ukalie vidole, Messi anavyoibeba Argentina huoni au unataka Achukue Ndondo Cup ndipo ujue thamani yake, Usishiriki ngono ambayo hukujiandaa nayo utakuja kuliwa kitako.
Umepanic mamaangu? Utableed sana mwaka huu, maana Ajib ndio kwanza tunamandaa. Endelea kutukana maana dawa ya hasira ni kutoa povu...
 
Hakuna haja ya Abuse language njoo na fact watu walioelimika hawatukanani

Hata kiongozi mmoja wa Simba kama wewe ni shabiki wa Simba alisema tukikutana na Yanga Mtu hatari ni Ajibu tu
 
Huyu Ajib msimu iliopita akiwa Simba alikua anacheza chini ya kiwango kumbe alikuwa kisha nunuliwa na upande wa pili.Na alichangia sana kuikosesha Simba ubingwa!!!
Aisee mmeanza hayo tena?Muulize kocha kamchezesha mara ngapi je kocha alikua anamwamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…