bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Nimetoka kuangalia game ya Stand na Yanga na Stand kuchapwa bakora 4 mbili ya hizo akipiga Ibrahim Ajib
Tukiacha unanzi Ajib ni mchezaji mzuri anakila kitu amekamilika anafunga,anatoa assist,anachezea mpira kwa kifupi anajua.
Na Tangu amekuja Yanga amebadilika sana ameacha kucheza na jukwaa na kupiga kazi tu.
Tukiacha unanzi Ajib ni mchezaji mzuri anakila kitu amekamilika anafunga,anatoa assist,anachezea mpira kwa kifupi anajua.
Na Tangu amekuja Yanga amebadilika sana ameacha kucheza na jukwaa na kupiga kazi tu.