Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajifanya ana kifua hataki kusemaaa ila najua nimeotea pamojaSiwezi kufanya hivyo Mimi ni verified mpemba mkuu
Juzi nipo zangu nachat na mtu humu nikashangaa naona dislike yake, nikamuuliza shida nini au wivu? Nikala nyingine. Nikasema usinizoee, nikamlamba ignorance ๐Ulijuajeee
Alipojifanya kampiga dislike moderator si akapigwa ban ya kureact akafungua uzi ๐๐๐๐๐๐Juzi nipo zangu nachat na mtu humu nikashangaa naona dislike yake, nikamuuliza shida nini au wivu? Nikala nyingine. Nikasema usinizoee, nikamlamba ignorance ๐
Katika pitapita mitaani naona kumbe anazigawa kwa kila mtu hadi Cookie alimdislike wakati hakukisea kitu moderator wa watu๐ญ
Umeuwa mkuu ๐๐๐Wazi mi nakukong'otea chaurembo fanya kama unajikuna basi tukamilishe agizo la kibiblia๐คฃ
Kumbe huyo jirani yangu hapa kigamboni ๐๐๐๐๐Alipojifanya kampiga dislike moderator si akapigwa ban ya kureact akafungua uzi ๐๐๐๐๐๐
Toka hapo sijamuona tena mpka leo
Nitakuambia, ila nampenda sana ๐คSiwezi kufanya hivyo Mimi ni verified mpemba mkuu
Shida alikuwa anamuiga django doer bwana maana yule jamaa yeye karibia kila mtu anampiga dislike bahati mbaya kikamrambaaaJuzi nipo zangu nachat na mtu humu nikashangaa naona dislike yake, nikamuuliza shida nini au wivu? Nikala nyingine. Nikasema usinizoee, nikamlamba ignorance ๐
Katika pitapita mitaani naona kumbe anazigawa kwa kila mtu hadi Cookie alimdislike wakati hakukisea kitu moderator wa watu๐ญ
Hivi hao madogo shida hasa huwa ni Nini hadi wanatembeza dislikeS
Shida alikuwa anamuiga django doer bwana maana yule jamaa yeye karibia kila mtu anampiga dislike bahati mbaya kikamrambaaa
Unakula dislike unauliza???๐๐๐ hadi mm nilikula dislike kama tano hivi kila memba akawa analalamikaaa ghafla akarambwa ban ya reactionsNitakuambia, ila nampenda sana ๐ค
Eeeeh huyo huyo mwenye id million, watu wa kigamboni wana hasira sijui za kulipia darajaKumbe huyo jirani yangu hapa kigamboni ๐๐๐๐๐
Django anakuwaga na mtindo wa kuwafata wanawake pm afu anaongeaga lugha chafu wanamtolea nje bwana,akitoka Huko ni mwendo wa kudislike kila mtuHivi hao madogo shida hasa huwa ni Nini hadi wanatembeza dislike
Duh anatatizo la akili aisee hicho tu ndio anatembeza dislike ๐ ๐ afu Itakuwa na maisha yanamchanganyaD
Django anakuwaga na mtindo wa kuwafata wanawake pm afu anaongeaga lugha chafu wanamtolea nje bwana,akitoka Huko ni mwendo wa kudislike kila mtu
Inawezekana mkuuDuh anatatizo la akili aisee hicho tu ndio anatembeza dislike ๐ ๐ afu Itakuwa na maisha yanamchanganya
Who is Putin ๐๐๐Hahaa ๐, kati ya Fake P na Putin nani anatembea na roho yako?
Naam huyo ndio Django doer ๐D
Django anakuwaga na mtindo wa kuwafata wanawake pm afu anaongeaga lugha chafu wanamtolea nje bwana,akitoka Huko ni mwendo wa kudislike kila mtu