Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaInawezekana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaInawezekana mkuu
Naongelea Mnyama Putin, anaetembea na ControllerWe jamaa putin ni mwanamke kumbe 😂😂
Amepata anacho kitaka 😂😁Naam huyo ndio Django doer 😂
Sasa nyamwi rafiki ake django akaamua kuiga katembeza dis kwa mod akamfanyia ban matataNaunga mkono hoja
Bora huyo ni mpaka akataliwe, haya nyamwi nae alikataliwa au ndio nini? Afu yule si ni binadamu Jike?Duh anatatizo la akili aisee hicho tu ndio anatembeza dislike 😂 😁 afu Itakuwa na maisha yanamchanganya
The president of RussiaWho is Putin 😂😁😁
Alikuwaga anasema mm nina roho nyepesi sanaa akawa anaupload picha za ajabu na kufuta wakaja kumramba ban matata sanaAmepata anacho kitaka 😂😁
😂😂😁😁The president of Russia
Nani huyoAlikuwaga anasema mm nina roho nyepesi sanaa akawa anaupload picha za ajabu na kufuta wakaja kumramba ban matata sana
Amezidi kuvunja Sheria yule jamaaAlikuwaga anasema mm nina roho nyepesi sanaa akawa anaupload picha za ajabu na kufuta wakaja kumramba ban matata sana
Huyu ni django doer mkuu, alisemaga haogopi ban yeye akawa anaupload pich za ajabu akiwa na nyamwi weeh si wamepita nae 😂😂😂😂Nani huyo
Duh walikuwa wanajipostiHuyu ni django doer mkuu, alisemaga haogopi ban yeye akawa anaupload pich za ajabu akiwa na nyamwi weeh si wamepita nae 😂😂😂😂
Jamiiforums imekaa poa me napenda muonekano wa rangi ya dark blueIla JamiiForums ina muonekano bomba sana kuliko Facebook, na ina features matata sana. Sema facebook ina features nyingi na inasupport social media intergration nyingi sana
Naam, na hiyo ndio mimi natumia siku zote. Mimi nilianza kusoma threads za humu 2018 nilikuw na simu yangu ndogo ya button itel, inatumia opera mini. Katika kupita pita kwangu nilikuwa napenda kusoma simulizi moja inaitwa "Mkono wa Chuma" mtunzi "Alex kileo", basi bwana si Google ikaniketea JamiiForums, kuingia hivi nakuta simulizi kibao, basi maisha yangu yote ikawa kila nikitoka shule nakimbilia simu yangu naingia ndani kusoma simulizi.Jamiifo
Jamiiforums imekaa poa me napenda muonekano wa rangi ya dark blue
Miss bantuWimbo unaitwaje??
Daah aisee tunatoka mbali mkuu, mimi nilianza na tecno t301 mkuu nikawa naingia pale internet service then naandika JAMIIFORUMS inasearch gugo naiona inaletwa pale naingia nasoma stry za akina gentamycine na akina deep pond japo naona siku hizi haandiki posts nikawa nasoma kama posts 4 hivi kisimu kimeisha chaji hapo mpka kesho mkuu 😂😂😂😂Naam, na hiyo ndio mimi natumia siku zote. Mimi nilianza kusoma threads za humu 2018 nilikuw na simu yangu ndogo ya button itel, inatumia opera mini. Katika kupita pita kwangu nilikuwa napenda kusoma simulizi moja inaitwa "Mkono wa Chuma" mtunzi "Alex kileo", basi bwana si Google ikaniketea JamiiForums, kuingia hivi nakuta simulizi kibao, basi maisha yangu yote ikawa kila nikitoka shule nakimbilia simu yangu naingia ndani kusoma simulizi.
Nikawa natamani sana kuchangia lakini nashindwa maana ile simu haisupport huduma za email. Siku moja nikapata simu ya jamaa mmoja nikatengeneza email chap nikajoin, nikaambiwa nisubiri activation.
Nikarudi kwenye simu yangu ndogo, siku moja natuma post si ikakubali bhana weeeeh 😂 😂 😂