Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

Kumbe ulianzaga utapeli toka uko shule alaaa
No, mimi sio tapel, ila niliwafanyia hicho kitu watu niliowafahamu kwenye namba ngeni, wakawa wakipiga napokea nakoroma huku nawataja majina yao, nawaambia jioni haifiki hana figoπŸ˜‚
 
No, mimi sio tapel, ila niliwafanyia hicho kitu watu niliowafahamu kwenye namba ngeni, wakawa wakipiga napokea nakoroma huku nawataja majina yao, nawaambia jioni haifiki hana figoπŸ˜‚
Daaah aiseee hata Mm nilikuwaga napokea texts za hivooo ko kumbe C. E. O ni wewe
 
Daaah aiseee hata Mm nilikuwaga napokea texts za hivooo ko kumbe C. E. O ni wewe
No, mimi nilifanya kwa enjoyment zangu mwenyewe 😊, lakini niliwaambia kuwa ni mimi, sasa shida namba ilisambaa nikasema nisije kunyea debe πŸ˜‚ nikatupa laini chooni
 
U
No, mimi nilifanya kwa enjoyment zangu mwenyewe 😊, lakini niliwaambia kuwa ni mimi, sasa shida namba ilisambaa nikasema nisije kunyea debe πŸ˜‚ nikatupa laini chooni
Ukaamua kubadili namba au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…