Worynot send tooUsitaje tuma pm now, right??
Tulia apa mpk tumalize sisi kuflirtKwanza mmeniharibia ratiba, nilitaka niangalie movie kuanzia saa 22:30 mpaka 02:00, Saiv sifui dafu
Uangalie muvi gani mkuuKwanza mmeniharibia ratiba, nilitaka niangalie movie kuanzia saa 22:30 mpaka 02:00, Saiv sifui dafu
TextUangalie muvi gani mkuu
Ndo nini sasa na wewe nae au ndo muvinyo ushakoleaText
Chai tayari hiiNimejaribu kuchek movie nikasinzia... Usingizini nikaota nakimbizwa...
Imebidi nirudi tu
ππNdo nini sasa na wewe nae au ndo muvinyo ushakolea
Me nimechill apa na series moja ya kichina inaitwa dragon saber and heaven sword yaan full action daah aisee ππππ
Me
Me nimechill apa na series moja ya kichina inaitwa dragon saber and heaven sword yaan full action daah aisee ππ
Unajitahidi mkuu mm at least nina C 3 nimeelewaThe angel you want, the angel you will have! & The devil you want, the devil you will have! So take care dear! ππ€£
Kama hujaelewa na huna D hata Moja ( yaani ulipata 4 Haina ajira ) pitia kwa rasi simba
Huwa unaangalia animation mkuu??View attachment 3095295
Mzigo wa leo huo lazima nimalize
Ni movie hiyo au??Mmmh angalia homeservice
Nimetokea kuwachukia watu wanaosema "Kama huna D mbili huwezi elewa" sijui kwaniniThe angel you want, the angel you will have! & The devil you want, the devil you will have! So take care dear! ππ€£
Kama hujaelewa na huna D hata Moja ( yaani ulipata 4 Haina ajira ) pitia kwa rasi simba
Una D ngapi mkuu! Tuanzie hapo πNimetokea kuwachukia watu wanaosema "Kama huna D mbili huwezi elewa" sijui kwanini