Kuna Megamind pia ni nzuri mwaka huu wameachia mpyaIkiwaaa, ikiwaaa kipenyo cha kichwa changu si sawa na chako, ikiwaaaa umeninyoa vibaya, ikiwaaa unanirudishia chenji mara kumi ya hela niliyokupa, ikiwaaaa😂
Hiyo siijuiKama umeiona apocalypto 02 nijuze mkuu ikoje maana nimesikia imetoka mpya
Animation or?Kuna Megamind pia ni nzuri mwaka huu wameachia mpya
Ya jaguar paw movie hii sio animationHiyo siijui
Megamind ni animation moja matata sanaAnimation or?
Ndugu upo penzni 😃😃😃Nakupenda zaidi ya Messi anavyopenda Ballon d'or, hata ukinitesa kama Manchester united sitakuacha kwakua wewe ndo FA Cup ya moyo wangu, sasa Manchester united wa moyo wangu ntakuacha vipi na ninakumbuka tulimfunga Arsenal 8-2?
Nitese kama Bernard Morison alivyoitesa Yanga ila nitakuvumilia na nitakurudisha tena Moyoni, tunapitia mengi ila nikikuona natabasam zaidi ya shabiki wa mnyama anaekumbuka ushindi wa Simba kumfunga Yanga goli 5-0.
Kwa madini zaidi lipia ada.
Sema mim napenda movie flan hiv kama prey, the lair, die hard, in the tall grass, sneakers, hackers, yaan iwe mix adventure, horror kidogo lakini, technology, iwe na mastaa, etc. Ila napenda movie za jangwani za wazungu sio waarabu, porini kwenye Mapango, tukija town movie kali kama die hard unyama, thriller unyamaYa jaguar paw movie hii sio animation
Ndugu upo penzni 😃😃😃
Siku hizi wazungu siwaelewagi naonaga muvi zao story haielewekiiSema mim napenda movie flan hiv kama prey, the lair, die hard, in the tall grass, sneakers, hackers, yaan iwe mix adventure, horror kidogo lakini, technology, iwe na mastaa, etc. Ila napenda movie za jangwani za wazungu sio waarabu, porini kwenye Mapango, tukija town movie kali kama die hard unyama, thriller unyama
Kwenye tasnia ya movies, wazungu ni top, wachina wanafata. Sema wachina wananikera maseason yao.Siku hizi wazungu siwaelewagi naonaga muvi zao story haielewekii
Ati niniKumetorora😂
Kumekucha yaaniAti nini
Kwenye tasnia ya movies, wazungu ni top, wachina wanafata. Sema wachina wananikera maseason yao.
Kalii sana hiyoWazungu napenda animation tu
siku hizi
Kuna ile muvi inaitwa mad max furiosa
nape
Hii ya 24 sio kali kama ya 2015Wazungu napenda animation tu
siku hizi
Kuna ile muvi inaitwa mad max furiosa
nape
Mtoto mzuri sana huyo 😎Kumekucha yaani