Tupia jina la beki wa kati aliyestaafu ambaye ulikuwa unamkubali sana

Tupia jina la beki wa kati aliyestaafu ambaye ulikuwa unamkubali sana

Mimi naanza na Nemanja Vidic kwa nje na kwa hapa nyumbani namkubali sana Salum Swedi Kusi.

Endelea na wewe...

Zaneti, Samwel Walter, Ramos, puyol, maldini, nesta, canavaro, Mascherano, Stam, Lahm, carragher, terry, chiellin, Ferdinand, alves,

Kuna uyu defender wa Argentina jina lake montiel ni hatari mno, Rodrigo de paul ni midfielder na upande wa ukabaji pia anasavaiv jamaa ni hatari na nusu.
 
Yeeee watanzania tu viumbe wa ajabu mno tunajua mengi kuhusu nje but ndani ya nchi yetu mmm,kuna yoso mmoja hajui kuwa A.Juma(Young African FC)alikuwa number 6 makini sana(kwake alikua beki wa pembeni!!)kwangu Jellah Mtagwa ndio chagua langu (anaugua pale Moro ila tupo kimya subiri atangulie kwenye haki midomo itakua mingi tena ya kinafiki)
 
Yeeee watanzania tu viumbe wa ajabu mno tunajua mengi kuhusu nje but ndani ya nchi yetu mmm,kuna yoso mmoja hajui kuwa A.Juma(Young African FC)alikuwa number 6 makini sana(kwake alikua beki wa pembeni!!)kwangu Jellah Mtagwa ndio chagua langu (anaugua pale Moro ila tupo kimya subiri atangulie kwenye haki midomo itakua mingi tena ya kinafiki)
Tuendelee kulalamika na kulaumu
 
Nimejaribu kumkumbuka huyu kitasa...Franco baressi nimechemka...daah mwamba umenikumbsha
Wakati nipo shule o level jamaa yangu Richard Simba alikuwa ananiita Franco Baressi maana nilikuwa Sina masihara hata kidogo
 
Bila kujalisha nafasi zao za ulinzi walizocheza, wafuatao walikuwa hatari, Roberto Carlos, Taribo West (bila kusahau chenga yake ya kuzunguka juu ya mpira), Rigobert Song (Simba wa Cameroon), Ferdinand Colly(Simba wa Terenga), combination ya Zambrota, Madin na Allesandro Nesta.
 
Back
Top Bottom