Tupia jina la kocha wa timu yoyote anayekaribia kufukuzwa kazi

Tupia jina la kocha wa timu yoyote anayekaribia kufukuzwa kazi

Pochetino, pale Spurs sijui anasubiri nini. Timu ndani ya siku tatu inafungwa goli 10 na bado yupo?
Labda ni upepo tu, ila mimi naona ni wasaa sasa wa kwenda kutafuta changamoto mpya sehemu nyingine
 
Kuna msemo wa kiingereza unasema "Managers are hired to be fired". Yaani Makocha wameajiriwa kwaajili ya kufukuzwa.

Kocha unapopewa timu, watu wanachotaka ni mafanikio tu na si kingine. Msimu mpya umeanza na kasi, kuna makocha kadha wa kadha hali za timu zao si nzuri sana hivyo kupelekea kuwa katika hatari ya kufukuzwa vibarua vyao.

Tukumbushane makocha ambao wamekalia kuti kavu kwenye timu zao, yaani muda wowote ule vibarua vinaweza kuota nyasi.

Mimi naanza na huyu Marco Silva wa Everton...
View attachment 1224462View attachment 1224463
Pep
 
Back
Top Bottom