Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumuhusisha lampard na vitu vya kipumbafu!
!
Zidane
Ole Guna
Lampard
Sylvinho wa Lyon
Salute Mkuu.Kocha wa ac Milan, Marco Giampaolo
Hawa Milan sijui wanakwama wapi miaka hii Timu yangu,au ukata unawazingua?Ac Milan tayari washafanya yao huko
Sijui Man Utd na wengineo wanangoja niniView attachment 1226967
Mwanzoni timu ilivyokuwa chini ya Silvio Barluscon ukata ilikuwa ni sababu kubwa ya timu kuyumba hasa baada ya asilimia zaidi ya 80 ya kizazi kilichoipatia ac milan mafanikio, umri wao kuwa mkubwa na kupelekea kustafu kuichezea ac milan.Hawa Milan sijui wanakwama wapi miaka hii Timu yangu,au ukata unawazingua?
Natamani sana jamaa afukuzwe, ila shida menejimenti ya arsenalUnai Emery