Yeah...niliiona picha yake kwenye gazeti la Majira akiwa kasimama juu ya mgongo wa mwanafunzi. Hazikupita siku nyingi nikasikia amefukuzwa kazi kwa kitendo kile. Jigge alikuwa mwalimu wangu....ni mwalimu mzuri sana wa English, akiwa miongoni mwa walimu waliosomeshwa Uingereza katika chuo kikuu cha Plymouth.Ile adhabu ilikuwa too much mkuu, kumbe unampata vizuri sana.
Du ee bwana eeh, huyu alikuwa komesha!Tuliosoma Ligula primary, Mtwara mtakuwa mnamkumbuka Mwl Mayelle, ticha wa hesabu.
Dadekiii.
Dah....yaani mpaka namaliza la saba naenda sekondary nilikuwa bado namuogopa
Mwl alikuwa anapiga yule, sipati kusema jamani
Siku akichoka kupiga, anakukabidhi mbegu za ufuta, anakuonyesha eneo la kupanda, anakwambia tutakutana term ya mavuno.
Term ya mavuno ifike afu hakuna kitu au mazao hahajakomaa....utajinyea.
Ila atakuwa keshakuwa mtu mzima...hana nguvu tena.
Ila tuliosoma Ligula akina Konrani Mmuni, Asha Van Vandame, David Chinguile.mmekula sana bakora zake na hivo mlikuwa watundu.
Huyu ni referee mwenye bej ya Fifa.Alipigwa na Steven MwasyikaHuyu jamaa ni mnoko hatari anaendana na jina lake... Alinifundisha maths alafu anapenda sana mpira wa miguu, ni mrefu hivi mwembamba.
Huyu namjua anaitwa Bilali.madam bambucha (minaki high school)
Jige alienda Mwanza ,Hilcrest baadae ThaqaffaYeah...niliiona picha yake kwenye gazeti la Majira akiwa kasimama juu ya mgongo wa mwanafunzi. Hazikupita siku nyingi nikasikia amefukuzwa kazi kwa kitendo kile. Jigge alikuwa mwalimu wangu....ni mwalimu mzuri sana wa English, akiwa miongoni mwa walimu waliosomeshwa Uingereza katika chuo kikuu cha Plymouth.
hahahaha! unamkumbuka mwal bagile?
Mikomangwa hahahahaaaa ile ilikua mashine tatamusoma tech(alliance) kulikuwa na mwl.mikomangwa alikuwa ni noma.. lakini alikomeshwa baada kupigwa mimba mabinti zake wawili
Morega Mongate kanifundisha Adv.Maths hahahahaaaaa and lafudhi yake iyo utachoka mwenyeweMorega Mongate a.k.a DUDE,alikuwa second muster enzi hzo Mara sec huko musoma mara! Sa hv yupo ndanda sec mtwara.nahisi kwa shule zilizokuwa na walimu wanoko kwa tanzania nzima huyu jamaa bdo angekuwa kiranja wao.toka nipo pale 2004 up to 2007 wanafunzi walisha fanya kila mbinu kama migomo kila baada ya miez kadhaa kwa miaka yote,kumvizia kumua,kumpiga mawe,lakini watukumuweza!.jamaa kama komando kipensi
Tulikua tunaiita "Jamahuri ya Watu wa Tech " enzi hizoNamkumbuka sana huyo jina lake aliitwa Pastory Mikomangwa aka mikoma-G, alikua msukuma na mabinti zake walikua weupe pee. Alikua akikutana nawe kule mjini au baruti anakukariri sura na akija shule kesho yake lazima akukamate paredi.
"musoma shule ya sekondari, ufundi Tanzania ..." wimbo wa shule nimeukumbuka mwanzo wake
Asilimia nyingi tuliosoma boarding tulikula sana msoto aiseeHuyu ni referee mwenye bej ya Fifa.Alipigwa na Steven Mwasyika
Nimecheka sana ha ha haaaBasi unaambiwa kwamba kuna mwalimu anaitwa Bachubila. Jina la utani tulikuwa tunamuita Ruba. Huyu ticha alikuwa hacheki na mtu yeyote yule. Tangu nianze fomu wani mpaka namaliza fomu foo sikuwahi kumuona akicheka. Usiombe ukutane na Ruba hujachomekea shati, hujahudhuria assembly au ukiwa umetoroka shule--utajuta kuzaliwa!
Kuna siku alinitaka niokote makombo ya chakula nimpelekee alishie kuku wake, nikamdis. Siku 1 alinivizia nikiwa natoka DH akanizaba konzi kidogo nizimie! Kisha alinipa adhabu ambayo niliifanya wiki nzima bila ku-attend class. Nilikomaje!
Sasa huyu bwana kiingereza chake kilikuwa na matege. Siku 1 kuna mwanafunzi wa fomu tuu alimpiga mwanafunzi wa fomu wani mbele yake, Ruba akadakia: 'WHY YOU BEAT FORM ONE IN MY FRONT?'. Hapa alikuwa na maana kwamba: 'KWANINI UNAMPIGA FOMU WANI MBELE YANGU?'. Bora hata alipokuwa hajui kiingereza, angekijua angekuwa mnoko zaidi. Kwa kweli mwalimu huyu alikuwa mtata sana, hakuna mwanafunzi shuleni kwetu Mara Sekondari asiyemfahamu huyu ticha mnoko.
Ndyamkama yule ticha mwache tu ukiingia kumi na nane zake umeisha, halafu kuna Afande anaitwa Ismail. Huyo akikushika kantini kama ulichelewesha muda wa kurudi basi unapigwa bakora A maana kisha unaambiwa uite mzazi. Mzazi akija anaambiwa mwanao unampa hela nyingi za kutumia hadi anahonga madem ndiyo maana anachelewa kutoka breki.Hakuna shule yenye walimu wakali kama jitegemee wakikushindwa wanakusakizia wanajeshi ambao ndio kama walezi na wenye shule. Wengi mmeongea lakini hakuna shule inayogusa pale kwa walimu na walezi wakali.
Nimesoma nae A level.Jige alienda Mwanza ,Hilcrest baadae Thaqaffa
2004 mkuu enzi ya kina soko, nondo na akina mbaga na yule jamaaa aliyekunywa aliyemeza bangi kisha akanywa mkojo mbele ya gadiye kufuta ushahidi [emoji2] [emoji2]Mwaka gani mkuu?kanifundisha pia,ila baada ya utoto nilimpenda,katufaulisha wengi.
Hivi hijra ilikuwa ipagala au kisasa?Namkumbuka mwl Nyambo alikuwa wa hesabu mwenge primary moshi kuja sec madame Kasanga wa hijra seminary Dom alikuwa mnoko balaa
Ipo chinangali bwanaHivi hijra ilikuwa ipagala au kisasa?