Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,019
Pale Mwembeni hivi Onanda hakuwa mnoko?mwl Yongo A.Yongo (mwembeni high school-musoma)
Mwl. Madauda (Ikizu High School-Bunda)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale Mwembeni hivi Onanda hakuwa mnoko?mwl Yongo A.Yongo (mwembeni high school-musoma)
Mwl. Madauda (Ikizu High School-Bunda)
Ni yeye.Huyu Nkongo ndio huyu refa wa TFF au ni mwingine?
Ile adhabu ilikuwa too much mkuu, kumbe unampata vizuri sana.Jigge akifukuzwa kazi kwa sababu ya hizo adhabu zake za kipuuzi kwa wanafunzi....alisimama juu ya mgongo wa mwanafunzi; picha ilipotoka gazetini akafukuzwa kazi na kutimkia Mwembeni Sec.
Mwaka gani mkuu?kanifundisha pia,ila baada ya utoto nilimpenda,katufaulisha wengi.SINGE HIGH SCHOOL Babati kuna ticha alikuea anaitwa Njiku the animal a.k.a PANGEA alipewa hilo jina kutokana na kugawanyika meno yake kugawanyika [emoji23][emoji23][emoji23] aiseeh jomba alikuwa anababua asikutie kwenye 18 zake utajuta hajuagi mtu kujitetea aiseeh miaka ile tunasoma aliwai piga mtu mpaka akazimia.
Jina la kwanza anaitwa nani?Pale Tumaini Dar es Salaam, Department ya Masscom kuna kichaa mmoja anaitwa Mdegela [emoji23][emoji23] huyu jamaa aise ni mnoko Kama mwanamke alieachika na bwana wake.
Huyu alihamia iyunga labda km sio yeye utarekebisha. White flani hivi alikua anavaa miwani. Mnoko snKaguo, mwalimu wa nidhamu Ifunda.
onanda baadae alihamia j.w. bukanga high school ila hakua mnoko sana kama Yongo na bila kumsahau MunibiPale Mwembeni hivi Onanda hakuwa mnoko?
Kulikua na jina km hili iyunga tech, mwalimu huyu alikua na kisauti chembamba mnoko sn. Alikua anasimamia bustani za mbogamboga alikua anakera sn. Mambo yakugawiwa bustani uwe unaihudumia ilikua km kaa la Moto mbele ya huyu Mr. MshanaMwl Mshana
Nsoo sec Moshi
Mpare alikua hatari huyu
Blueband tu?Mwalimu Candy wa Thirsty International Academy alikuwa akikupata na kosa siku hiyo hupewi 'blue band' ya kupaka kwenye mkate!! :israel::israel::israel:
Ntauka tumesoma na mwanae Mtwara girls sekondari, Mtwara.Yaani nimesikitika sana uzi unakaribia kufungwa bila Mwalimu Ntauka wa Ndanda Secondari ya Masasi kutajwa kama mwalimu mnoko kuliko wote kwa kanda ya Lindi na Mtwara, na ambaye pia anastahili kuchukua nafasi za juu sana katika ngazi ya kitaifa kwa unoko, ukuda, na tabia zinazofanana na hizo. Huyu Mwalimu alikuwa Discipline Master na baadaye second master lkn ni kama shule yote ilikuwa mikononi mwake
Yaani ulikuwa ukikamatwa na Ntauka kwa kosa lolote hata la kupiga kelele darasani basi utakuwa maarufu shule nzima kuanzia siku hiyo. Atakuburuza hadi kwenye paredi, na kulisoma jina lako na kukuponda (kukudhalilisha) kwa mbwembe zilizopindukia kisha bakora. Watu mliosoma Ndanda mwishoni mwa miaka ya tisini hadi miaka ya katikati ya elfu mbili mpo mtoe ushuhuda zaidi?
Huyu sikumkuta.Kabobe sabasaba sec mtwara ni balaaa bora ukutane na nyati
Ebwana Mtwara girl's kuna tisha alikua anaitwa sir maulid second master, alikua ni mnoko shule nzima hakuna. Alafu alikua mtaalam wakukamata simu, yaan akikuta unaongea na cm kwanza anacheka alafu anakuacha umalize maongezi baada ya hapo anakun'ganya huku anacheka, kesho paredi unaenda kuivunja mwenyewe kuna mawe special yameandaliwa kwa ajiri ya kazi hiyo.
Alafu sasa ukidoji prepo anakufata bwenn akikuta unaoga upo uchi unakuchapa hivyo hivyo anawaambia pangen mstari wote mnaoga eneo hilo unachapwa fimbo za mikono mkiwa uchi wengine wanamapovu wengine ndo wanaanza, yaaan ilikua raha kweli.
Alafu tuluchokua tunampendea hajui kununa ni best friend, ila ukimuuzi anakuchapa viboko vya maana huku anakupigisha story, tena olewako usimjibu. Yaan anakuchapa huku anacheka, so mwanafunz huna budi kulia huku unacheka.
SHULE RAHA SNA
MLIOSOMA MTWARA GIRL'S HEMBU NJOON