Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Yoyote atakayekatiza mradi siyo ndugu.kwa hiyo ulitongoza mtaa mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoyote atakayekatiza mradi siyo ndugu.kwa hiyo ulitongoza mtaa mzima
hongera sana mkuuAnswer Sheet
Kwenye upande wa kumemorize facts and infos mambo na vitu shule nilikuwa hatari
Mpaka wakaanza kuniita Answer Sheet
kwa nini uliitwa hivo mkuuMapengo[emoji854][emoji854][emoji854]
mimi namkubali sana nikamuona tu naanza kuchekaYeah... kipindi chao nakipenda sana, kinachekesha
nilikuwa nayo...utotoni[emoji854][emoji854][emoji854]Una mapengo kwani[emoji1787]
hongera sana mkuuMartinezstavo alinipa jina rafiki angu ambae nilikuwa nasolve matatizo yake bila ya yeye kujua na nikisov simwambii mpaka ajue yeye kutoka vyanzo vingine vya habari au situation flani mwanzo aliniita Gustavo then jina lilipokuwa limefahamika na watu wengi likadevelop mpaka kufika hapo lilipo saivi
Mpiga miti mashuhuri.Natumai hamjambo wakuu,
Karibu kila mmoja wetu hupatiwa jina la utani na familia/jamii inayomzunguka kulingana na tabia/matendo yake, karibuni hapa kushare majina yenu ya utani na sababu ya kuitwa majina hayo.
Binafsi jina la utani niliitwa bwana MISOSI coz nilikua napenda sana kula, jina hili lilivuma sana hasa utotoni maana nilikua sijui kujivunga linapokuja suala la msosi, yaani popote nilipoukuta nilikula bt after kukua tabia imetoweka na hata sijui ilitowekaje japo kwa wanaonijua huendelea kuniita bwana MISOSI.
Sasa uwanja ni wenu kutiririka.
tupe maana yake na reason ya kuitwa hivo mkuumimi naitwa ngoshiwane
mapengo yameshapotea...limebaki jina tu.....[emoji854][emoji854][emoji854]Kenzy buheri wa afya ni vile tu nimehamu mapengo yako vipi naruhusiwa kuyasabahi..[emoji6]
Nitakupatia jengine chagua Kati ya haya ... Lamba mwiko, mang'oma au kiriba tumbo..? Chagua mwenyewe kabla sijakubatiza..😂mapengo yameshapotea...limebaki jina tu.....[emoji854][emoji854][emoji854]
kuna mama wa kisukuma alikuwa ananiita hivyo nikiwa mdogotupe maana yake na reason ya kuitwa hivo mkuu
Nitakupatia jengine chagua Kati ya haya ... Lamba mwiko, mang'oma au kiriba tumbo..? Chagua mwenyewe kabla sijakubatiza..😂
mkuu wewe hata usipotaja nick name yako ya nchawi ni popular sana hapa ndaniHujambo Kwenzi[emoji851][emoji1550]
Sikubali we utakuwa vunja chungu Kama sio komba mboga..😜hakuna la kunisanifu hapo...tuendeleze mapengo tu🙃😉🙃😉
sawakuna mama wa kisukuma alikuwa ananiita hivyo nikiwa mdogo
ulikuaga hulii ukiitwa hivo mkuu?mapengo yalikuwepo halafu...napenda kucheka sana...pata picha[emoji854][emoji854][emoji854][emoji854]