Ngende sio dawa ila ni eneo maarufu kwa uganga watu wanafata hizo dawa za utajiri ndio wanaita utajiri wa ngende. Ngende ipo Liwale mkoa wa aLindiUnaijua hyo dawa ngende? Ni noma ipo kusini huko ni dawa ya utajiri zamani matajiri wengi walikua na utajiri wa ngende yani kama utajiri wa wakinga ana ghorofa saba kariakoo halafu ana yeboyebo!!
Nanyamba - Lindi/Mtwara, Mpekenyera Lindi, Mchafukoge Mwanza
Mtu Pori hiyo ikato lya Nyerere ndio pikato kule ngonga....?Ikato lya Nyerere, Ndilimali Tembo, Ntyangimbole, Kasyungutini, Simba kapakatwa bar, maji ya chai........., Nyoko primary school n.k
Ngende sio dawa ila ni
eneo maarufu kwa uganga watu wanafata hizo dawa za utajiri ndio wanaita
utajiri wa ngende. Ngende ipo Liwale mkoa wa aLindi
Chibakwe
Katelelo (kagera) mto ngono (muleba-kagera)
Katombaneni street.
saa ten, mkunazini, bububu, kiboje, kiembe samaki. kote ni Zanziberi.
Kibandamaiti, Dole, Mchambawima, Mkokotoni - Zanzibar
Ndala, Ndembezi, Nguzonane, Soko mjinga, Ngokolo. Hiyo ni SHINYANGA,