Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

Unaijua hyo dawa ngende? Ni noma ipo kusini huko ni dawa ya utajiri zamani matajiri wengi walikua na utajiri wa ngende yani kama utajiri wa wakinga ana ghorofa saba kariakoo halafu ana yeboyebo!!
Ngende sio dawa ila ni eneo maarufu kwa uganga watu wanafata hizo dawa za utajiri ndio wanaita utajiri wa ngende. Ngende ipo Liwale mkoa wa aLindi
 
Ikato lya Nyerere, Ndilimali Tembo, Ntyangimbole, Kasyungutini, Simba kapakatwa bar, maji ya chai........., Nyoko primary school n.k
Mtu Pori hiyo ikato lya Nyerere ndio pikato kule ngonga....?
Naona vingi vijiji vya kwetu
 
Kwa sadala kilmanjro,kagongwa kahama,Igembesabo,nyege-zi mwanza,mwakaleli mbeya,shigamba/mwakanshahala/kitengwe nzega,kondamoyo/jionee/nyamambaya urambo,tengeru/ungalimi arusha,kwa mfuga mbwa/mabwepande/uwanja wa fisi dsm.
 
"Ifisi" Mbeya

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Mwanjelwa Mbeya.
 
Gwatabikurume,Nyamitwibiri,kibanchabancha,kenyamanyori,Manyamanyama,Nyambono-Huko Musoma!
 
"Kawetele"



Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Soko Matola Mbeya.
 
soko mjinga=Arusha,ngarenanyuki,kilimanyege,kibololoni,
kwa bi nyauu,mchambawima,
 
Back
Top Bottom