Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Finish
Complete
Kuna tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Finish
Complete
Kuna tofauti?
Duuuu hatari sana
.hhahahahahhahahaa awa walitumia ata umeme wa elfu 5evonik,
Sio kila mlango ulio wazi lazima uingie
Sio lazima rice cooker upikie wali peke ake,kuna sehemu niliona wanpikia hadi kande
Zinapo sawa ila finish ilitoholewa Kwny neno fish.
Hiv kila kwenye tobo ni lazima uingize?
Vinatunzwa kwenye servers (computer) za wamiliki wa hizo websites.Maandishi, picha, video vinavyorushwa mtandaoni (kwenye internet) vinakaa/vimeshikiliwa/vinatunzwa wapi
Iyo ni reflection ya maji(Bahari,maziwa na mabwawa)
75% ya dunia ni maji brooMbona hata sehemu ambazo hazina bahari na mito juu tunaliona wingu la bluu ?
Hiyoo reflection inafanyikaje mpaka sehemu ambazo hakuna hayo mamito na mabahari ionekane ?
Kwahiyo hata papuchi ni tobo??Tundu ni. Uwazi ambao unaonesha na upande wa pili lkn tobo haionwshi upande wa pili,
Nipo tyr kusahihishwa
Analia coz Anakutana na dunia iliyojaa shida, wakati waliopo wanamcheka kwa kuwa amekuja ila siku ya kuondoka wale waliomcheka watalia, halafu yeye nae atawacheka kwa kuwa anawaacha na shidazaoHivi ni kweli mtoto akizaliwa tu analia? Na je tumboni huwa halii hasa kwenye miezi tisa
Ukisoma kwenye biblia utajua ramani ya kwanza ilichorwaje , maana biblia tu ndio ina ramani ya kwanza ya duniaAliyechora ramani ya dunia kwa mara ya kwanza yeye alikuwa wapi?